Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
Jaribu ku-google -> Low-budget way to send your stuff into space
msamehe bure amezoea kutafuniwa
Jaribu ku-google -> Low-budget way to send your stuff into space
Hahaha naona Invisible waifanye hii Thread STICKY. ili iwe ya kudumu hadi mwaka 2023, pia iwe ushahidi kwa wajukuu zetu wote snipa Chief-Mkwawa @ilisokolobwe Donn Transistor Msamiati Mwl.RCT
mwaka 2023. uzito wake ni 0.50kg tu
mwaka 2023. uzito wake ni 0.50kg tu
Hakuna kisichowezekana mkuu.
Ni kweli imagination kitu muhimu ila kwa hili napata mashaka mkuu.
Satellite!!!!
Ondoa mashaka, Kwan maana ya satellite ni nn mkuu?
Hii ni definition niliyotoa kwenye mtandao
An artificial body placed in orbit round the earth or another planet in order to collect information or for communication.
Definition hiyo inazungumzia Artificial satellite ambayo ndii kiin cha mada yetu . Achana na natural satellite (moon).
Satellite yangu ,kazi yake itakuwa ni kucollect information ( kupiga picha / kurekodi sauti/ kurekodi temp /kurekod umbali kutoka chin) na kisha kunitumia hizo info kwenye laptop yangu.(kwa kutumia mawimbi ya radio ambayo nitayanasa kwa kutumia antena)
so ni kitu simple tu.
Nitachofanya nitachukua motherboard ya simu yeyote ya samsung duos,sensor za arduino,camera ndogo 15mpix na kuendelea, chargeble battery, solar panels(nitazipata kwenye hiz taa za mchina)
then project yangu itaanzia hapo
salute. Katika wote wewe ni gt.huwezi kudharua usichokijua. Gt unatakiwa kuchukua mda na kuwaza na kufanya utafiti ili kujihakikishia.
Acha ndoto za alinacha.
tunavyorusha satellite tunairusha umbali dat KM 36000 kutoka kwenye earth surface, ifikia kipimo hicho tunaipa initial velocity mwelekeo sawa na dunia kama ni east to west au west to east.
Wewe unakifaa gani chakurusha umbali kama huo ili ukakutane na centripetal force ?
km 300 tu na uhakika huwezi.
Ewe Punguani Huwezi kweli kabisa hutawezaOndoa mashaka, Kwan maana ya satellite ni nn mkuu?
Hii ni definition niliyotoa kwenye mtandao
An artificial body placed in orbit round the earth or another planet in order to collect information or for communication.
Definition hiyo inazungumzia Artificial satellite ambayo ndii kiin cha mada yetu . Achana na natural satellite (moon).
Satellite yangu ,kazi yake itakuwa ni kucollect information ( kupiga picha / kurekodi sauti/ kurekodi temp /kurekod umbali kutoka chin) na kisha kunitumia hizo info kwenye laptop yangu.(kwa kutumia mawimbi ya radio ambayo nitayanasa kwa kutumia antena)
so ni kitu simple tu.
Nitachofanya nitachukua motherboard ya simu yeyote ya samsung duos,sensor za arduino,camera ndogo 15mpix na kuendelea, chargeble battery, solar panels(nitazipata kwenye hiz taa za mchina)
then project yangu itaanzia hapo
wewe mwenye akili timamu umefanya/ utafanya nini hadi mwaka huo utakua umefanya jambo gani katika mambo ya technology?
Tatizo watanzania wenzangu upeo wenu wa kuelewa ni mdogo alafu ni wavivu wa kufikilia but hii kitu kinawawekana nilikua nasoma hii post hapa. jamaa kurusha camera into space kwa kutumia ballon. Basi nikawa nikawa nimefikilia kumbe ninaweza kutengeneza sattelite yangu yenye uzito mdogo inakairusha
post ni hii hapa
How to Launch a Camera Into Space
MIT students Justin Lee and Oliver Yeh stuffed a camera in a cooler, tied it to a helium balloon, andwith FAA approvallaunched the rig 17.5 miles into the stratosphere. "The results were fantastic," Lee says. "We tracked the device with a GPS-enabled cellphone and found it 20 miles from the launch site." The 5-hour flight, which cost $150 in materials, took photos of Earth every 5 seconds. Then, at 90,000 feet, the balloon popped. See the results at 1337arts.com.
acha kukubali mapema we mwanaume ndo nyinyi mnashiriki mapenzi ya jinsia moja
Ondoa mashaka, Kwan maana ya satellite ni nn mkuu?
Hii ni definition niliyotoa kwenye mtandao
An artificial body placed in orbit round the earth or another planet in order to collect information or for communication.
Definition hiyo inazungumzia Artificial satellite ambayo ndii kiin cha mada yetu . Achana na natural satellite (moon).
Satellite yangu ,kazi yake itakuwa ni kucollect information ( kupiga picha / kurekodi sauti/ kurekodi temp /kurekod umbali kutoka chin) na kisha kunitumia hizo info kwenye laptop yangu.(kwa kutumia mawimbi ya radio ambayo nitayanasa kwa kutumia antena)
so ni kitu simple tu.
Nitachofanya nitachukua motherboard ya simu yeyote ya samsung duos,sensor za arduino,camera ndogo 15mpix na kuendelea, chargeble battery, solar panels(nitazipata kwenye hiz taa za mchina)
then project yangu itaanzia hapo