Mbona hilo liko wazi kinachotakiwa sasa CDM iongeze mbinu za kukabiriana na serikali si CCM tena, mbinu za jukwaani wameshafuzu sasa watafute mbinu za kukabiliana na vitisho vya serikali ikiwemo polisi na mahakama maana tunajua hulka ya vyama tawala vya kiafrika vikizidiwa huwa vinajificha nyuma ya dola.