Wabunge 23 watainyima vipi serikali usingizi. Nyie endeleeni ya fujo zenu, wananchi wenye akili zao wamesha wasoma. Mtabaki na hilo genge lenu la wavuta bangi wasio jua hata kupiga kura.
Tatizo hawa ccm na wakuu wa mikoa wanafikiri CHADEMA ni hao 23! Kama walikuwa ni watu wa kujifunza basi matukio ya Mbeya na Arusha yangekuwa somo tosha. Kwa mtu kama Kandoro kusema 'atawashughulikia' hao anaowaita wanasiasa nadhani anawezekeza kwenye hasira za watu. Next time akiwachefua watu wa Mbeya naomba Sugu asiende ili tuone jeuri yake.