Nina mashaka na utu wa Rais Magufuli

Nina mashaka na utu wa Rais Magufuli

View attachment 592348

Nimeanza kupata shaka na utu wa Rais Magufuli. Sijui yanakuwa matamshi ya bahati mbaya au makusudi.

Rais anazifanya fikra kwamba kina Manji wanandamwa kwa sababu wana raha zionekane sahihi. Au tuseme kina Mbowe wanahujumiwa miradi yao kwa sababu wana raha? Inaudhi sana.

Tazama watu wamefikia kumtukana Rais mitandaoni kwa sababu ya kauli kama hizi
Tuna raisi wa ajabu sana!
 
Huyu presidaa naambiwa alikataa kulipia maiti za watu 13 watanzania waliofariki uganda kwenye ajali mpaka ikabidi presidaa wa uganda alipie ndege ya kuwaleta watz wenzetu home,eti anabana matumizi
 
Acha unafiki ninyi wenyewe mlisema tunataka rais mkali, mkaenda mbali na kusema anatakiwa raisi mwenye maamuzi magumu, amkuishia hapo mkasema tunataka rais ambaye hataangalia sura ya mtu.

Mmekuwa vigeugeu sana. Viva Magufuli Vivaaaaaa!!!!
Na tunamwongezea mika 7 mara 2 = 14 mtameza wembe lazima.
Embu tuwe wakweli ndugu kwani Rais akiwa mkali inamaanisha wananchi wasipambane ili wafanikiwe?

Iwaje mafanikio ya mtu kutokana na juhudi zake. Rais roho imuume na kutoa kauli kama hizo alizonukuliwa akizisema?
Mmmhhh patam hapo
 
Acha unafiki ninyi wenyewe mlisema tunataka rais mkali, mkaenda mbali na kusema anatakiwa raisi mwenye maamuzi magumu, amkuishia hapo mkasema tunataka rais ambaye hataangalia sura ya mtu.

Mmekuwa vigeugeu sana. Viva Magufuli Vivaaaaaa!!!!
Na tunamwongezea mika 7 mara 2 = 14 mtameza wembe lazima.
Muda tena hapana. Afanye kazi zake kwa mjibu wa katiba na aondoke kama watangulizi wenzake. Huo utakuwa ni ushauri mbovu na kupoteza kazi zake kama mkilenga huko. Naamini naye atakubali asiwe wa kwanza kuvunja katiba kwa kuwa sio kipaumbele chake. Ataharibu credibility yake mapema.
 
Sio kweli JPM amekuwa mbunge- mwanasiasa kwa zaidi ya miaka 20, anachokisema anakimaanisha. Ukweli Magu ni zaidi ya Mwanasiasa, ni strategist- angalia kila hatua anayochukua na impact yake kwa waliosimama njiani.
Wewe usimsifie for nothing, hivi mtu mwenye wazo la kuweka uzio Mererani yote kisa tunaibiwa unamuona yupo sawa upstair?
 
Yeye na Bashite wake mbona ndio wanapata Raha za ajabu. Mimi nafikiri aanze kujishughulikia yeye wenyewe
 
Eleweni context ya maneno, si vyema kumchukua mtu out of context na kumispresent facts
 
View attachment 592348

Nimeanza kupata shaka na utu wa Rais Magufuli. Sijui yanakuwa matamshi ya bahati mbaya au makusudi.

Rais anazifanya fikra kwamba kina Manji wanandamwa kwa sababu wana raha zionekane sahihi. Au tuseme kina Mbowe wanahujumiwa miradi yao kwa sababu wana raha? Inaudhi sana.

Tazama watu wamefikia kumtukana Rais mitandaoni kwa sababu ya kauli kama hizi
Bro mwaka wa tatu unaenda bado hujaamini kwamba maneno yanatoka moyoni na si bahati mbaya!
 
Back
Top Bottom