Nina mashaka na utu wa Rais Magufuli

Nina mashaka na utu wa Rais Magufuli

Kiongozi unapokosa busara, HEKIMA, utu ,subira, maarifa na weledi shirikishi toka nje ya fikra zako lazima uwe KATILI NA JASUSI KAMA SIO GAIDI.
TANZANIA NI HERI TUNGEKUWA NA KIKUNDI CHA MAGAIDI KULIKO GAIDI MWENYE KUTUONGOZA! !!
ALLAH ATUEPUSHIE MBALI DHIKI ZITOKANAZO NA AWAMU YA TANO!
 
Mkuu mleta mada, hapo wanaongelewa wapigaji, mafisadi na wote wa aina hiyo.

Wanaongelewa watu wapenda short cut za maisha, wapenda matanuzi makubwa kwa kutegemea mgongo wa wanyonge.

Ni maneno yanayojikita kwenye vita ya mapambano dhidi ya dhuluma, JPM sio mwanasiasa japo urais ni cheo cha kisiasa.

Kwa miaka miwili aliyokaa ikulu ilitegemewa kuwa awe ameshaanza kuwa na aina ya hotuba tofauti na zile za wakati wa kampeni, lakini kwa sababu sio mwanasiasa anabakia na mtindo wake wa ufikiriaji na uongeaji ambao ni wa kwake na sio wenye kutokana na kuiga tabia za wanasiasa warasimu.
Sio kweli JPM amekuwa mbunge- mwanasiasa kwa zaidi ya miaka 20, anachokisema anakimaanisha. Ukweli Magu ni zaidi ya Mwanasiasa, ni strategist- angalia kila hatua anayochukua na impact yake kwa waliosimama njiani.
 
Sio kweli JPM amekuwa mbunge- mwanasiasa kwa zaidi ya miaka 20, anachokisema anakimaanisha. Ukweli Magu ni zaidi ya Mwanasiasa, ni strategist- angalia kila hatua anayochukua na impact yake kwa waliosimama njiani.
Tunaongelea political skills, political conviction, hivyo ni vitu viwili ambavyo hajabarikiwa.

Kuwa mbunge kwa miaka 20 sio kigezo cha kufikia viwango vya mtu kuitwa mwanasiasa. Huyu ni mtendaji zaidi. Mtu wa kutoa kazi fulani na kutaka mpaka muda fulani iwe imeshamalizika. Hana oratory skills, kabarikiwa uwezo wa kutosahau kazi fulani kubwa inayopaswa kufanyika.

Ndio maana alipokuwa waziri alikuwa anafahamu sana urefu wa barabara za nchi hii. Kila siku anaongelea wafanyakazi hewa, wanafunzi hewa na mambo kama hayo ni kwa sababu anakosa maarifa ya kuongea kitu kile kile katika lugha tofauti ya kisiasa. Very predictable.
 
Chifu, tuna chizi pale White House! Toka alivyosema anataka malaika waishi kama mashetani, nikaona tumepata wimbi Ikulu!
 
Sio kweli JPM amekuwa mbunge- mwanasiasa kwa zaidi ya miaka 20, anachokisema anakimaanisha. Ukweli Magu ni zaidi ya Mwanasiasa, ni strategist- angalia kila hatua anayochukua na impact yake kwa waliosimama njiani.
Impact ipi? Tuzungumzie impact kwenye maisha yetu wote watanzania! Kuna unafuu wa maisha?, ajira zimeongezeka? Mfumuko wa bei uko poa??

Thamani yafedha inaimarika? biashara zinakua au zinazid kufungwa??? Ukiyapitia yote hayo utaona hamna jipya!!! Kauli za kukomoana na maamuzi ya ajabu ajabu! Nchi inazidi kwenda chini kiuchum nyie mmekalia impact!!

Mnaenjoy kuskia watu wana timuliwa wakati sisi hatukumpeleka pale atimue tu! Atimue lakini impact yake ionekane kwenye maisha yetu sio kiki za kwenyetv kila siku! Mbaba anaroho ya ajabu sana!
 
View attachment 592348

Nimeanza kupata shaka na utu wa Rais Magufuli. Sijui yanakuwa matamshi ya bahati mbaya au makusudi.

Rais anazifanya fikra kwamba kina Manji wanandamwa kwa sababu wana raha zionekane sahihi. Au tuseme kina Mbowe wanahujumiwa miradi yao kwa sababu wana raha? Inaudhi sana.

Tazama watu wamefikia kumtukana Rais mitandaoni kwa sababu ya kauli kama hizi
Umeelewa alikuwa anawalenga kina Nani?
Kwanini awe Mbowe na manji kwani wamefanya nini? Kwanini asiwe maalim SEIF?
 
Acha unafiki ninyi wenyewe mlisema tunataka rais mkali, mkaenda mbali na kusema anatakiwa raisi mwenye maamuzi magumu, amkuishia hapo mkasema tunataka rais ambaye hataangalia sura ya mtu.

Mmekuwa vigeugeu sana. Viva Magufuli Vivaaaaaa!!!!
Na tunamwongezea mika 7 mara 2 = 14 mtameza wembe lazima.
Safi sana mkuu [emoji122] [emoji106]
 
Raisi TFF (Malinzi), Raisi TLS (TL)...... kana kwamba hutakiwi kuanza na neno Raisi kwa Tz ya sasa....
 
Kwa nn asimtibu TL, kweli ukiritimba wa matibabu unaweza kufanya umwache mpiganaji wako afe kisa hakwenda Muhimbili? Kwa hili sijamwelewa kwa kweli. ....
 
View attachment 592348

Nimeanza kupata shaka na utu wa Rais Magufuli. Sijui yanakuwa matamshi ya bahati mbaya au makusudi.

Rais anazifanya fikra kwamba kina Manji wanandamwa kwa sababu wana raha zionekane sahihi. Au tuseme kina Mbowe wanahujumiwa miradi yao kwa sababu wana raha? Inaudhi sana.

Tazama watu wamefikia kumtukana Rais mitandaoni kwa sababu ya kauli kama hizi
Hao wenye raha ni kina nani? Kwa nini atamani kulala nao? Kwani nini mbele? Mbele ni wapi? Kwani akilala nao nyuma au kati itakuwaje?
 
View attachment 592348

Nimeanza kupata shaka na utu wa Rais Magufuli. Sijui yanakuwa matamshi ya bahati mbaya au makusudi.

Rais anazifanya fikra kwamba kina Manji wanandamwa kwa sababu wana raha zionekane sahihi. Au tuseme kina Mbowe wanahujumiwa miradi yao kwa sababu wana raha? Inaudhi sana.

Tazama watu wamefikia kumtukana Rais mitandaoni kwa sababu ya kauli kama hizi
Mnafiki tu km wanafiki wengine wa CCM kina hao wanaishi km raha ktk nchi hii zaidi ya hao viongozi na nchi yetu ajawai kupata kiongozi yoyote njee ya CCM...
 
Back
Top Bottom