Mimi huwa nikiwa na boyfriend na nikajua ana shida akaniomba hela huwa natoa kwa moyo mmoja sema lazima nikuulize lini utairudisha hela yanguyote tisa, pesa ya mwanamke huwa ni ngumu...watakaokupa hela kirahisi maybe ndugu wa kike na mama mzazi ila demu wako akupe hela thubutuu, atakachonunua maybe msosi wa buku, akijitahidi sana sana ataishia kukununulia vest na vipafyumu Curious gal
Umelamba dume suruali.Poleni na majukumu wana MMU, naomba niende kwenye Mada moja, kwa Moja Nina mahusiano na mwanaume mmoja, Mimi ni mfanyakazi Na mwenzangu ni mfanyakazi pia,mishahara yetu haitofautiani Sana japo yeye ananizidi kidogo, Cha kushangaza toka nimekuwa nae kwenye mahusiano haishi kulalamika hana hela(sina tabia ya kumuomba hela)amekuwa na tabia ya kunililia shida kila siku,kosa akiona hela nyingi kwenye pochi lazima aombe, niliwahi kuzungumza nae kuhusu tabia yake na future yetu akadai ana majukumu huko kwao ndo maana hela yake haikai. Ana mpango wa kwenda kutoa posa mwaka kesho,naombeni ushauri wenu jamani niko njia panda, huyu mtu akinioa ataihudumia familiar ipasavyo kweli? Tatizo lake jingine sio mpambanaji kabisa, hata ukimuomba ushauri wa jambo la kujenga majibu yake ni zero,naombeni ushauri wenu jamani huyu mwanaume kweli atanifaa iwapo tutaingia nae kwenye ndoa?
Hahahahaha acha ubahili sasa...kweli hela unapeleka kusaidia kwenu au unapeleka kwa mkeo na watoto halafu unamdanganya huyo dada kwamba utamwoa mwakani....Sasa mpenzi umeona suluhu ni kuja kuniabisha humu JF aisee, sio vyema kabisa...kama una sababu ya kuniacha ungesema tu kuliko kuja kunianika humu..ila asante nashukuru
Sawa Dada nitafuata ushauri wako[emoji41] [emoji41]Hahahahaha acha ubahili sasa...kweli hela unapeleka kusaidia kwenu au unapeleka kwa mkeo na watoto halafu unamdanganya huyo dada kwamba utamwoa mwakani....
Dada hebu jaribu kukaa na kuyaongea kwa kina bora kuelewa mapema wengine hawarekebishiki kamwe
Safi maana mwanaume akiwa hajiongezi ni jangaBora utafute mwingne lakn changanya na zako
Kweli kbsa MkuuSafi maana mwanaume akiwa hajiongezi ni janga