we tuharibie tu mapenzi yetu! Sikulaumu, maana ndivyo alivyochagua mpenzi wangu. Kwani mm kumuweka wazi changamoto za familia yetu imekuwa nongwa? Nimejaribu kumwomba pesa kwa kumpima tu lakini yeye licha ya kufeli mtihani huo kakimbilia kujieleza kwenye mitandao ya kijamii, kuonesha kwamba anataka tuishi kwa falsafa ya chake-chake, changu-chake. Kweli mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe(mithali 14:1). Basi na mimi nasema nimeghairi kupeleka posa, labda aje aniombe msamaha.huyo ni brother wangu namjua vizuri anapenda mteremko huyo ndio zake na alishaoa mwakajuzi wewe humjuwi na kazi katemeshwa anawatoto wengine wanne mama tofauti
Mbona nyie huwa mnaomba au mwanaume hatakiwi kuomba? Mkiomba nyie hamna shida akiomba mwanaume amekuwa omba ombaDada sasa hapo si unaishi na ombaomba......bora uwe single
Huyo kaka ana kazi tena amemzidi mwenzie hela kinachomfanya aombe ni nini......kusaidiana kupo ila sio kwa style hiyoMbona nyie huwa mnaomba au mwanaume hatakiwi kuomba? Mkiomba nyie hamna shida akiomba mwanaume amekuwa omba omba
Dada sasa hapo si unaishi na ombaomba......bora uwe single
Kuna kusaidiana katika mahusiano but not to that extent kama huyo mkakaKwa hiyo nyie wanawake mkituomba sisi hela, bhasi nyie ni ombaomba, Curious gal
Asante kwa ushauriPole sana dada. Mwanaume ambaye awezi kuwajibika mwanzoni mwa mahusiano huyo atakusumbua mbeleni. Wanaume wengi kipindi hiki wanapenda kuhudumiwa. Fikiria mwanaume anatafuta mchumba wa kuoa anaulizia anafanya kazi gani? za kuambiwa changanya na zako. Atakusumbua mbeleni.
Fanya maamuzi mapema.
Lakini kunako 6 kwa 6 vipi anakukojoza ipasavyo mpaka maji wayaita mma au na huko pia ni goigoi??Ndio lakini sikumpa, anachonikera analialia njaa kila uchwao shida yeye hazimuishi
jamani, nimeomba mara moja tu,...... sawa lakini, maana nyani haoni kundule!Kuna kusaidiana katika mahusiano but not to that extent kama huyo mkaka
Sorry, wewe ndo unayeongelewa hapa???? Maana hii comment inanipa mashakajamani, nimeomba mara moja tu,...... sawa lakini, maana nyani haoni kundule!
Kuna kusaidiana katika mahusiano but not to that extent kama huyo mkaka