Nina mashaka na huyu mwanaume

Nina mashaka na huyu mwanaume

Unafikiri hapa ndo kuna suluhisho cyo, umekosea sana ww jaji mwenyewe kutokana na jinsi unavyoona mapenzi yenu inawezekana kuna vingi kakufanyia lakini hukuvisema sasa unataka mtu akushauri kwenye mtandao na wakati kuna vingi hatuvijui hatari hii. Narudia tena humu huezi kupata suluhisho la maana.
 
Who approached the other?,if is you,endelea nae if is him,break on coz it is its behavior en he won't change it
 
Halafu wew inaonekana ni mbea sana,hata ndoa ukayoipata lazma ikushinde,kwa sbb huna Siri,suala la kutangaza madhaifu ya mwenzako syo.

Rudi kwenu huko wakufunze ,maana wanaume tuko na background toft hasa kulingana na namna tulivyofika kwenye goal,huend kasomeshwa na mjomba ake ,au ndg yake yeyote anapaswa kurudish fadhra kwake aidha kwa kusomesha watot wake na kujenga kwao kwanza,wew utaenda kwao utakuta ajajenga utakuja tena kumsema!

Most of you girls,mishahara yenu inaishia kujipodoa,no future ya kujenga Nyumba en other u only expect being married en live in man's house

Wew unapaswakubadilka,a guy become transparent to u coz he believes you as his wife bt unakuwa zero wa kutangaza ujinga ujinga ,uliza wenzio walio ktk ndoa wanaishije ustake maish ya kwenye movie
 
Ww achana na ushaul hum mama utapotea chukua maamz mwenyewe
 
Isije ikawa hata na wewe unamsumbua ila hapa jamvini unajifanya malaika. Ila kuwa makini na maamuzi yako unayotegemea kuyafanya.

Haya ni maisha tu, sometimes mambo kwetu wanaume huwa yanayumba kweli, tofauti na nyie wanawake, unaweza ukapata favour fulani na hata BAADHI YENU kuhongwa na mambo yakaenda. Nimesema BAADHI, sio wote..!!

Yawezekana kilichowakutanisha nyie mpk mkaanza mahusiano sio fedha, bali ni mapenzi yenu tu. Fedha ni matokeo tu, na yawezekana mambo yako yanaenda kimtindo kwa sababu upo nae, na utakapoachana nae, mambo yakaharibika kiasi cha kutamani kumrudia na itakuwa too late.

Sasa jichunguze na ujihoji vzr kma kweli hyo ndio sababu pekee hasa inayofanya uanze kumchukia, au umepata mshkaji mwngn unayemuona yupo vizuri kuliko jamaa. Jichunguze kwanza. Kuombwa hela isiwe sababu ya kukutenganisha nae, labda angalau ungesema mshikaji ni kicheche, ningejaribu kukuelewa kdg.
 
Wanawake waliofundwa kwa sasa ni mabibi
Mwanamke alifunzwa hawezi kusema madhaifu ya mwenzio wazi kamweee zaid huenda kwa watu maalum kuomba ushauri
Wanawake wa kutaka mapenzi pia kwa sasa ni mabibi

Mwanamke wa kumuoa huwaza mapenz kwanza je atakapoolewa atapendwa?
Angalia wa kisasa wanawaza PESA kwan mtu adi akuoe anashindwaje kuhudumia basic needes?
Mabibi waliolewa enzi hizo kwa shidaa wakiangalia mapenzi na wamedumu adi leo wajukuu tumekuwa wababa
POKEA ushaur wa wengi kuwa umuache maana ushaonekana.
 
Pole sana dada. Mwanaume ambaye awezi kuwajibika mwanzoni mwa mahusiano huyo atakusumbua mbeleni. Wanaume wengi kipindi hiki wanapenda kuhudumiwa. Fikiria mwanaume anatafuta mchumba wa kuoa anaulizia anafanya kazi gani? za kuambiwa changanya na zako. Atakusumbua mbeleni.

Fanya maamuzi mapema.
Sio kweli,umegeneraluzed TABIA kwa wote
 
71479de0d9c451a63ecbe340fe4bc399.jpg

Chukulia poa tu
 
wacha ujinga wewe,,,, ushapata bwana mwingine unatafuta sababu........juilize mmetoka wapi,,, je ni sahihi kwao ana majukumu........mipango yenu ya baadae kwa pamoja mmeipangaje,,,, au umemwachia yeye apange maana ndo katabia kenu........unafikiria hapa ndo penye suluhisho?????.....jipange dada.....ndoa ni maisha na sio utegemezi........utakimbia wangapi jiulize.......watakuchovya wangapi???? umejichunguza na wewe mwenyewe????
Unajua kama hujaelewa, inabidi uulize kuliko kukurupuka na kuchangia.
Hebu rudi uisome uzi wake alafu urudi usome ulichokiandika, hapo utaelewa nimemaanisha nini.
 
Huyo kapenda pochi yako tu, atakufuja.

Hapo hajaenda kutoa posa anakubambikizia majukumu, akikuoa si ndio atakuachia kila kitu?

Kwa hiyo hayo majukumu ya familia yao wewe ndio wakuyatafutia suluhisho?
 
Wanawake waliofundwa kwa sasa ni mabibi
Mwanamke alifunzwa hawezi kusema madhaifu ya mwenzio wazi kamweee zaid huenda kwa watu maalum kuomba ushauri
Wanawake wa kutaka mapenzi pia kwa sasa ni mabibi

Mwanamke wa kumuoa huwaza mapenz kwanza je atakapoolewa atapendwa?
Angalia wa kisasa wanawaza PESA kwan mtu adi akuoe anashindwaje kuhudumia basic needes?
Mabibi waliolewa enzi hizo kwa shidaa wakiangalia mapenzi na wamedumu adi leo wajukuu tumekuwa wababa
POKEA ushaur wa wengi kuwa umuache maana ushaonekana.
Kwani huyo jamaa yake mnam,fahamu mpaka mseme kamtangaza
 
Back
Top Bottom