Nina mashaka na huyu mwanamke

Nina mashaka na huyu mwanamke

Kwanza nikupe ongera una moyo wa huruma sana mkuu mana ni wachache wenye moyo kama huo wako, tuje sasa kwenye suala la kuoa kwa hapo yakupasa ukae utafakari moyo wako ndio uamue sio kukupreshalaizi kuingia kwenye maisha ya ndoa pasipo ridhaa yako ndoa ina mambo mengi sana uyo mwanamke asikupakinikishe eti umuoe mwisho wa siku mambo yaende ndivyo sivyo kaa fikiri fanya maamuzi
Mpango upo, mkubwa mtu. Labda niwashikirikishe jambo jingine. Mbali na kumuhudumia yeye kimahitaji yote ya kiuchumi, kumfungulia duka la nguo na vifaa vya watoto na akina mama, kumpatia moja ya gari langu kutumia. Lakini pia nalipia sehemu ya ada ya mdogo wake.

Hayo yote yanaonesha utayari wangu wa kuwa na yeye kwa muda mrefu hata ndoa. Ila hatuwezi tu kuanza kuoa. Katika kipindi hiki chote mbali na niliyomkuta nayo, ni binti mkarimu na mwenye adabu sana. Muelewa na mcheshi hata kwa ndugu zangu wanaomfahamu.

Samahani, nimekujibu yote kwa urefu maana kuna mchangiaji mmoja amesema huyu binti anajitolea na nampoteza muda. Nadhani akipitia hapa ataelewa na mimi jinsi nilivyoanza kuwekeza kwake.
 
Mkuu hapa tutahukumu tu pasipo kuwa na uhakika. Ni haki ya mwenye kosa pia kusikilizwa. Mweke chini uzungumze naye. Majibu atakayokupa ndiyo yatakayokupa jibu ya maamuzi yako. Huku wengine wanakwambia limbwata sijui kimbia na mengine mengi. Kaeni chini ujue ukweli.
 
Shukrani sana.
Kwanza nikupe ongera una moyo wa huruma sana mkuu mana ni wachache wenye moyo kama huo wako, tuje sasa kwenye suala la kuoa kwa hapo yakupasa ukae utafakari moyo wako ndio uamue sio kukupreshalaizi kuingia kwenye maisha ya ndoa pasipo ridhaa yako ndoa ina mambo mengi sana uyo mwanamke asikupakinikishe eti umuoe mwisho wa siku mambo yaende ndivyo sivyo kaa fikiri fanya maamuzi
 
Nimejaribu kuzungumza nae kwa njia mbadala. Nilianzia mbali kumuuliza maswali kama kuna namna yoyote yeye anaweza fanya akanidhuru kiafya au kimwili au kiakili. Lakini pia nikamuuliza kama kwao kuna shida zozote za kiimani..

Mwisho nikamuuliza kama ikitokea nikamuumiza au kumuacha atachukua hatua gani.

Katika maswali yote haya alikana kuhusiana na namna yoyote ya kudhuru mtu kwa njia yoyote ile. Akaenda mbali zaidi akasema ikitokea nimeamua kumuacha basi yeye atamwachia Mungu tu, maana sitokuwa Ridhaa ya Mungu mimi kuwa naye.

Ila bado namchunguza zaidi.
Mkuu hapa tutahukumu tu pasipo kuwa na uhakika. Ni haki ya mwenye kosa pia kusikilizwa. Mweke chini uzungumze naye. Majibu atakayokupa ndiyo yatakayokupa jibu ya maamuzi yako. Huku wengine wanakwambia limbwata sijui kimbia na mengine mengi. Kaeni chini ujue ukweli.
 
Hakuna cha kuogopesha hapo ila wewe kwa sababu inaonekana hauko pamoja nae kwa sana kama mmeachana hatua moja mbele wala usiogope
 
Huyo ni mhanga wa ndoa ana haha kwa waganga,sala, mshosti ili umri usimpite akudake usimuache atapagawa muoe tu hayo madawa ya uongo aliyopewa na mganga wake akuwekee wewe ili utangaze ndoa mapema.
HATA DATA YAKO YANAWEZA YAKAMKUTA.
 
Utakuwa huwajui wanawake wako desperately kuolewa yani wao huwa shida yao ni zile sherehe tuu ,wanajua vizuri sana kujiweka ki wife material na kuficha true colors zao.jipe muda mpaka kiherehere cha kuolewa kimuishe ndo umuoe kama atakuwa haja anza ku act strange
Nimejaribu kuzungumza nae kwa njia mbadala. Nilianzia mbali kumuuliza maswali kama kuna namna yoyote yeye anaweza fanya akanidhuru kiafya au kimwili au kiakili. Lakini pia nikamuuliza kama kwao kuna shida zozote za kiimani..

Mwisho nikamuuliza kama ikitokea nikamuumiza au kumuacha atachukua hatua gani.

Katika maswali yote haya alikana kuhusiana na namna yoyote ya kudhuru mtu kwa njia yoyote ile. Akaenda mbali zaidi akasema ikitokea nimeamua kumuacha basi yeye atamwachia Mungu tu, maana sitokuwa Ridhaa ya Mungu mimi kuwa naye.

Ila bado namchunguza zaidi.
 
Back
Top Bottom