Nina mashaka na huyu mwanamke

Nina mashaka na huyu mwanamke

Kwahiyo wewe ulitaka akishajisafisha nyeti zake maji yako ayaguse kwa miguu au?? Je angeyagusa kwa miguu sindo ungekuja hapa ukiwa unalia na kulia??? Ukimchunguza bata huwez kumla
 
Umesema huwa mnafanya sala pamoja, kwa hiyo huwa mnazini kwanza ndio mnasali au mnasali ndio mnaingia kuzini? Samahani nimeona hapo tu mengine sijui
Ndo kusema...wanamshirikisha Mungu kwenye zinaa, una dhambi wewe😂😂
 
Kitendo alichokifanya ndio kibaya kama kweli hayo uloyaona ni ushirikina but nia yake sio mbaya maana yeye kafanya hayo ili lengo la wewe kumuoa litimie...shida ni wewe ndio unamshinikiza mpaka kufikia kufanya haya mambo...una nia kweli ya kumuoa fuata tataritb za ki imani na kama huna nia acha kabisaaa kumchezea huyo binti na mapemaaa..ataumia but najua atapata tu wa kumuoa ila sio wewe kumchezea na kuzidi kumtia stress mtoto wa watu mpaka anatafuta njia mbadala ya kukushawishi.. ni hayo tu
 
Of course, kuna bomba la shower. Bahati mbaya maji yamekuwa mtihani kwa siku hizi mbili. Ndio maana natumia ndoo.
Acha uongo maeneo haya tunayoishi hakuna maji ya Bomba! hata km yapo kwani kwani tank la dharula hamna?.

ndugu wana Bara huku DSM sehemu tunayopata maji Bwerere ni Bunju barabarani, MLandizi na Chalinze
 
Back
Top Bottom