Nina kipaji cha utapeli

Mkuu umeongea kitu muhimu sana na kuna kitu umenifungua mpaka kuja kutoa uzi kama huu kuna vitu nilikuwa najiuliza sana unajua nikijaribu kufanya kazi kwa njia za kawaida lazima mishe zangu zifeli ila nikisema nitumie hiki kipaji kujipatia hela mishe zangu zinΓ₯enda kama nilivyopanga nikisema kesho nalaza hom m1 bas nikikaa kutulia hiyo kesho nakuta kuna id zinanijia kichwa nini cha kufanya na ni kifuata kweli hizo id hufanikiwa ndio nashindwa kuelewa hizi nguvu zinatokea wapi japo kuna muda sipendi kufanya hivyo ila hufanya pale ninapokuwa na shida
 
Ni kipaji cha utapeli au kipaji cha ushawishi umeamua kukifanyia utapeli?
Mkuu kutokana na mishe Zenyewe nimeona bora niite hivyo mana hata hiyi id ya "tuma kwa namba hiyi" muanzilishi ni mimi na ni mbinu ya kijinga kuwai kuitoa kwa jamii nimeshakula kama m50 na kuiacha ila nakuta imekuwa tatizo kwa taifa
 
Mkuu kutokana na mishe Zenyewe nimeona bora niite hivyo mana hata hiyi id ya "tuma kwa namba hiyi" muanzilishi ni mimi na ni mbinu ya kijinga kuwai kuitoa kwa jamii nimeshakula kama m50 na kuiacha ila nakuta imekuwa tatizo kwa taifa
Kumbe ni wewe wa tuma kwa namba hii! Sasa tueleze kwanini huwa unatutukana sana tukikushtukia?
 
Unafaa sana kuwa afisa masoko au mpelelezi hizo kazi utaziweza mkuu utaifanya kwa ubunifu mkubwa sana omba wadau hku wakupe connection utakuja nishukuru badaye ..... ukikwama kabisa wakupe connection ya kuwa kishoka TRA
Daa umemshauri vitu vya maana sana,ila itamuwia ngumu kupata nafasi hizo maana hizo nafasi hazipatikani kwa kuwashawishi ila mpaka wao wajishawishi.
Acha nikupe michongo,
Watumishi wengi(kada ndogondogo) wanasumbuliwa sana kupata ruhusa na uhamisho.
Kwako hii ifanye fursa,uwe na mtandao/ofisi ambapo mwenye uhitaji katika hayo awe anakuona unamwandikia wazo(yaani swaga) za kumshawishi mwajiri wake ammalizie hitaji lako,kisha wewe unalipwa!
Unaweza ukaboresha zaidi.Pia unatakiwa uwe na uwezo wa kuwasiliana na ofisi nyingi za umma na binafsi kwo we unakuwa kishoka wa waajiriwa.
 
Ya kawaida tu kanyumba tu ka m120 tushamba tuheka 178 kiujumla ni maskini bado sababu sija jiingiza serious na pia sijaichukulia kama kazi
Kuna matapeli mbezi beach huko wanasukuma hadi Range Rover za 2016...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu kutokana na mishe Zenyewe nimeona bora niite hivyo mana hata hiyi id ya "tuma kwa namba hiyi" muanzilishi ni mimi na ni mbinu ya kijinga kuwai kuitoa kwa jamii nimeshakula kama m50 na kuiacha ila nakuta imekuwa tatizo kwa taifa
Una kipaji cha ushawishi,kama ungetaka kukitumia kufanya mishe halali ungepata mafanikio pia,lakini yale yasiyo na majuto baadae.
 
Una nyota ya segerea! Jiandae
 
Nilikuwa najiandaa kuandika hivi. Huyu jamaa ana nguvu za giza au pepo, anapoongea na mlengwa pepo hili linamuingia mlengwa na kumpumbaza akili na hivyo kujikuta anatii kila anachoambiwa, ni sawa na wale wezi ambao ukikutana nae akikuongelesha tu unampa hela na chochote anachokihitaji baadae sana akishapotea fahamu zinakurudia.

Madhara ni kwamba siku akijakukutana na mtu mwenye nguvu kubwa za kiroho au za giza kumzidi yeye itakuwa vita kati ya hilo pepo lake na nguvu za mlengwa matokeo yake huwenda akafa hapohapo, ugonjwa usioeleweka au akawa kichaa, taahira au kupata aibu kubwa au vyovyote vile kutokana settings za protection ya mlengwa.

Suluhusho: akajisalimishe kwa viongozi wa kiroho wamsaidie kuliondoa hilo pepo haraka sana
 
Nikwambie kitu bwana, haijalishi dini gani unaamini, kimbilia kwa Bwana mmoja aitwaye Yesu Kristo yeye atakutoa huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…