mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,329
- 4,851
Hiki kipaji nilianza kukigundua baada ya kuenda bank moja hivi na kupiga sound mhudumu mmoja wa pale na kumfanya kumtoa kiasi cha m20. Pasipoti dhamana ya kitu ila nilimrudishia lengo kupima uwezo wa akili yangu
Tukio la pili nilipofanikiwa kuingia nchi moja hivi na kukuta askari wakilinda migodi ya dhahabu na kufanikiwa kupewa gramu 89, Yaani kwa sound tu.
Tukio la tatu kipindi narudia hapo kwa Madiba kuna jamaa ambaye nilipanda nae bus alikuwa amebeba dawa za kulevya ilipo fika mpakani jamaa akanichana yakuwa ana madawa baada ya kuona hana namna basi nikamwambia niachie hizo mizigo mana ilikuwa kwenye begi, mwisho wa mchezo nilitoka na zile dawa kwa saund sitosema mbinu na mengine mengi.
Tukiachana hayo matukio madogo madogo niliyofanya ila nikikaaga na watu wenye upeo fulani huwa wananiambia "asee we jamaa kwa jinsi ulivyo unafaa sana kuwa tapeli nawaulizaga kwanini wanasema body yako inaonyesha na pia unaupeo fulani hivi wa kujibadilisha kutokana na mazingira.
Wakuu msaada wenu hivi hiki kipawa nitumie sehemu gani maana sipendi kukitumia kwa njia hasi mana nilisha Liza kijiji kizima pesa kwa kutumia ulaghai na sikugundulika na nikala pesa.
Na nimeisoma sana michezo ya matapeli wa hapa nchini nawaona bado hawana mbinu na mbinu zao za kitoto sana laiti ningekuwa huko mpaka sasa ningekuwa tapeli ambaye hajawahi tokea tz mana nakutapeli halafu unafurahia.
Hebu mnipe namna kabla sijakuwa mlaibu kwa kuumiza watu zaidi.
Ili mdhibitishe hilo naombeni pendekezeni nyinyi nani awe wa mfano iwe kiongozi au mtu wa kawaida yoyote humu.
Tukio la pili nilipofanikiwa kuingia nchi moja hivi na kukuta askari wakilinda migodi ya dhahabu na kufanikiwa kupewa gramu 89, Yaani kwa sound tu.
Tukio la tatu kipindi narudia hapo kwa Madiba kuna jamaa ambaye nilipanda nae bus alikuwa amebeba dawa za kulevya ilipo fika mpakani jamaa akanichana yakuwa ana madawa baada ya kuona hana namna basi nikamwambia niachie hizo mizigo mana ilikuwa kwenye begi, mwisho wa mchezo nilitoka na zile dawa kwa saund sitosema mbinu na mengine mengi.
Tukiachana hayo matukio madogo madogo niliyofanya ila nikikaaga na watu wenye upeo fulani huwa wananiambia "asee we jamaa kwa jinsi ulivyo unafaa sana kuwa tapeli nawaulizaga kwanini wanasema body yako inaonyesha na pia unaupeo fulani hivi wa kujibadilisha kutokana na mazingira.
Wakuu msaada wenu hivi hiki kipawa nitumie sehemu gani maana sipendi kukitumia kwa njia hasi mana nilisha Liza kijiji kizima pesa kwa kutumia ulaghai na sikugundulika na nikala pesa.
Na nimeisoma sana michezo ya matapeli wa hapa nchini nawaona bado hawana mbinu na mbinu zao za kitoto sana laiti ningekuwa huko mpaka sasa ningekuwa tapeli ambaye hajawahi tokea tz mana nakutapeli halafu unafurahia.
Hebu mnipe namna kabla sijakuwa mlaibu kwa kuumiza watu zaidi.
Ili mdhibitishe hilo naombeni pendekezeni nyinyi nani awe wa mfano iwe kiongozi au mtu wa kawaida yoyote humu.