Asante kwa maoni yako ila elimu yangu ni ndogo sana nimeishia four ila nina uwezo wa kujifunza kitu kwa muda mfupiUnafaa sana kuwa afisa masoko au mpelelezi hizo kazi utaziweza mkuu utaifanya kwa ubunifu mkubwa sana omba wadau hku wakupe connection utakuja nishukuru badaye ..... ukikwama kabisa wakupe connection ya kuwa kishoka TRA
Sijaona sababu ya kumtapeli ila kuna watu humu wananiforce kuwaliza licha ya kuwakwepa ni miezi miwili sasa wananifatiliaHebu pambana na GENTAMYCINE shababi kutoka sauti aje alete Uzi akilia apa.
Mkuu anatuhadaa kama vile bank uwa wanatoa mikopo tu kwa kuongea na mhudumu 😀😀😀Mkuu hebu acha kutuhadaa
Umenielewa lakini je wajua bank gani na ni nani muhusika wa hapo je wajua migodi gani ya nchi gani broo Pia napokea oda ili uamini njoo tukae ni kuonyesha kituMkuu anatuhadaa kama vile bank uwa wanatoa mikopo tu kwa kuongea na mhudumu
Halafu kumbe mgodini walinzi ndio wanakuwa wana hifadhi dhahabu
Basi tufanye Tawile maana muda huo sina uchumi mgumuUmenielewa lakini je wajua bank gani na ni nani muhusika wa hapo je wajua migodi gani ya nchi gani broo Pia napokea oda ili uamini njoo tukae ni kuonyesha kitu
Kuna kitu au nguvu fulani ya msaada uliyonayo bila ya wewe kujitambua. Nguvu hiyo inafanya kazi sio kwa faida yako bali kwa faida ya kule inakotoka. Wewe utashangaa tu kwa habari za utapeli inakuwa rahisi sana kufanya hivyo bila nguvu nyingi na mambo yote hutokea kama unavyotaka. Ukiendelea hivyo siku moja utajua kwanini umepewa hizo nguvu ila mwishoni utalipa kwa gharama kubwa sana na mara nyingi utalipa kwa damu yako.Wenzio hawaamini kama watu wana vipaji na mbinu za kulaghai watu mwenzio niliweka shati la k10 poni kwenye duka la vifaa vya ujenzi na kuchukua mifuko ya saruji 12 na kumlipa baada ya miezi miwili nusu ya bei na kuchukua shati langu hapo hata hanijui simjui