Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,315
- 1,186
Wapendwa katika Bwana, habari ya wakati naamini mko powah sana, lakini poleni kwa wanaohisi udhaifu wa mwili,tuzidi kumuomba MUNGU mponyaji wetu.
Maada yangu
Mimi nafanya kazi ambayo ni kama kibarua ambacho nafanya na mjomba wangu lakini naona sitayafikia malengo yangu kwa wakati, japo napata pesa ndogo ndogo ya kula na kulipa pango hapa town
Bado sijaoa Umri miaka 26"
Nina kipaji cha UCHORAJI lakini kutokana na hii kazi sikuweza kukitilia maanani,nlakini sasa hivi nimeamua kukifanyia kazi na kuanza kukiendeleza taratibu Maana natamani saaaana kuwa mchoraji mkubwa na ni kitu ninacho kipenda sana na furaha yangu kamili ipo hapo.
Napenda iwe ajira yangu maishani!!
Na nishaanza kuipiga na napata madili madogo madogo japo si mara kwa mara!
Na kujulikana inahitaji muda na support
USHAURI WENU WADAU KWA HILI
Nataka kuchukua maamuzi magumu ya kutoka hapa town niende maeneo fulani ya visiwani nikapige work ya kipaji changu kwa kuchora mitumbwi ya wa wavuvi!
Maana kule wachoraji ni wachache si kama hapa mjini,,
Au nikaze tu hapa mjini?!!
Naaamini humu wapo wachoraji ambao wanaweza kushea nami mawazo.
Na kwa wadau wote wa Jf
Mawazo yenu mhimu sana kwangu!
Shukurani sanaaaaaa!
Wenu Bin Shaib Classic 2022!
Baadhi ya kazi zangu!!
Maada yangu
Mimi nafanya kazi ambayo ni kama kibarua ambacho nafanya na mjomba wangu lakini naona sitayafikia malengo yangu kwa wakati, japo napata pesa ndogo ndogo ya kula na kulipa pango hapa town
Bado sijaoa Umri miaka 26"
Nina kipaji cha UCHORAJI lakini kutokana na hii kazi sikuweza kukitilia maanani,nlakini sasa hivi nimeamua kukifanyia kazi na kuanza kukiendeleza taratibu Maana natamani saaaana kuwa mchoraji mkubwa na ni kitu ninacho kipenda sana na furaha yangu kamili ipo hapo.
Napenda iwe ajira yangu maishani!!
Na nishaanza kuipiga na napata madili madogo madogo japo si mara kwa mara!
Na kujulikana inahitaji muda na support
USHAURI WENU WADAU KWA HILI
Nataka kuchukua maamuzi magumu ya kutoka hapa town niende maeneo fulani ya visiwani nikapige work ya kipaji changu kwa kuchora mitumbwi ya wa wavuvi!
Maana kule wachoraji ni wachache si kama hapa mjini,,
Au nikaze tu hapa mjini?!!
Naaamini humu wapo wachoraji ambao wanaweza kushea nami mawazo.
Na kwa wadau wote wa Jf
Mawazo yenu mhimu sana kwangu!
Shukurani sanaaaaaa!
Wenu Bin Shaib Classic 2022!
Baadhi ya kazi zangu!!