Yaani inakera moyo sometimes naamua kunywa mtungi nijipoze najikuta naanza kuleta stressHahahah umenikumbusha mbali sana, kuna kipindi nilijaribu kujiajiri nilikuwa nafungua ofisi saa tatu asubuhi nafunga saa tano usiku.Nikienda kulala naota nipo kazini naamka nimechoka tena napata ugumu kwenda kufungua ofisi.
Nikakosa furaha ikabidi nitafute ajira kwa mbinde hahahah mpaka sasa siwezi endelea na kitu nisichokipenda na moyo wangu ukiwa mzito sifanyi jambo.
Sema inahitaji maamuzi magumu...anza kutuma maombi ya kazi sehemu nyingine au anza kutafuta connection ya kazi nyingine au uwe muwazi uongee na uongozi wa hilo shirika wakubadilishie majukumu hayo ulonayo umeyazoea huna cha kujifunzaYaani inakera moyo sometimes naamua kunywa mtungi nijipoze najikuta naanza kuleta stress
Sema inahitaji maamuzi magumu...anza kutuma maombi ya kazi sehemu nyingine au anza kutafuta connection ya kazi nyingine au uwe muwazi uongee na uongozi wa hilo shirika wakubadilishie majukumu hayo ulonayo umeyazoea huna cha kujifunza
Usifungue biashara! Save kidogo kidogo, bana kidogo matumizi. Baada ya mwaka acha kazi, Fanya mambo mengine ikiwemo biashara!
Km unamshahara mdogo Na ukataka kufungua biashara unaweza jinyonga bure
Nipe hiyo mechanism ya kurufisha mori mkuuMimi pia miezi kama 6 nimekuwa napitia hali kama yako. Lakini baada ya kusikia watu wangu wasio na ajira wanavyo sota mtaani kipindi hiki, nimejirudi sasa kazi yangu naipenda sana. Nilikuwa nimesha pata mtaji ili nianze biashara lakini niliposikia mambo ya TRA nimeufyata.
Trust me motivation speakers tunawaomba kwenye huu uchumi wa kati/awamu ya kishindo msiwajaze watu upepo wa kuacha kazi watakuwa vichaa na hii laana itawahusu.Mkuu hajarogwa kabisa,hiyo kawaida sana...na ilinitokea tena nilikuwa na shavu sana,I didn't like the job.
Nilikuwa naboreka nikiwa kazini, now nimejiajiri nakimbiza mishe mtaani.
Fanya kitu kitakachokupa furaha.
Nipe hiyo mechanism ya kurufisha mori mk
TewalaaMkuu pole sana ... ni kawaida watu wengi wanafanya kazi ambazo hawapendi ila ni maisha tu inabidi ukomae. usiache kazi bila kazi maana utajua ni jinsi agani ilivyo kazi kuwa na stress wakati huna kazi.
Si unajua duniani usipojifunza utafunzwa, lakini usipojitunza hakuna atakayekutunza.
Kuwa kama binamu usifanya move mpaka uwe na plan mkuu
Au ninasema uongo ndugu zangu?