toto zuli
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 265
- 278
Nahitaji mawazo yenu, hapa nilipo nimekuwa mtu wa wasiwasi, sina amani kwa kazi ninayofanya ambayo.
1. Ukikosea kidogo unaitia kampuni hasara kubwa, hivyo inahitaji umakini sana.
2. Uzembe wowote utakaotokea ukiwa kazini basi itapelekea wewe kukaa polisi au kufugwa.
3. Hapa nilipo nina kesi ya kuisababishia kampuni hasara kwa kufanya malipo hewa kwenye machine ya EFD, ambapo kwenye kiasi nili punch millioni tatu badala ya laki tatu, hivyo nina deni la kulipa kampuni.
4. Maboss wangu hawaniamini tena, kila nikiwaona napatwa wasiwasi muda wowote, naona naweza kuwa terminated kazini.
5. Staff wenzangu wamekuwa wakiwa pembeni huntsman kuhusu utendaji wangu wa kazi, naonekana ni poor performance.
Hivyo nahitaji msaada wenu wa kimawazo, hapa nilipo bado nipo dilema.
1. Ukikosea kidogo unaitia kampuni hasara kubwa, hivyo inahitaji umakini sana.
2. Uzembe wowote utakaotokea ukiwa kazini basi itapelekea wewe kukaa polisi au kufugwa.
3. Hapa nilipo nina kesi ya kuisababishia kampuni hasara kwa kufanya malipo hewa kwenye machine ya EFD, ambapo kwenye kiasi nili punch millioni tatu badala ya laki tatu, hivyo nina deni la kulipa kampuni.
4. Maboss wangu hawaniamini tena, kila nikiwaona napatwa wasiwasi muda wowote, naona naweza kuwa terminated kazini.
5. Staff wenzangu wamekuwa wakiwa pembeni huntsman kuhusu utendaji wangu wa kazi, naonekana ni poor performance.
Hivyo nahitaji msaada wenu wa kimawazo, hapa nilipo bado nipo dilema.