Mkuu unatamani vikubwa. Mbona watu tumesoma sana na tunaishi tu bila kazi maalum. Ingekuwa inawezekana ungeniachia hiyo nafasi niajiriwe mimi.Ni kazi ambayo haihitaji utalamu wa elimu niliyosoma ila kuna uhusiano kidogo sana.
Nijikoki vipi niipende mkuu.
Nashukuru sana mkuuAjira ni kwa ajili ya Ujira.
Kimsingi tunapenda Ajira zetu kaa sababu ujira tunaopata.
Ujira kama haukupi unachoamini kinakustahili (bahati mbaya hakuna ujira unaotosha)
Lazima tu utachukia Ajira.
Sasa kuna haya wachache ya kufanya
1. Kutafuta sababu nyingine ya kupenda na kuitahamini kazi yako(hii utaipata utakapotandaza CV na kutoitwa kwenye usaili au kuitwa kwenye usaili ila usiitwe kwenye offer.
2. Kukumbuka kuwa unafanya kazi kwa ajili ya survival na sio mahaba.
Ntaacha habari ya kusingizia unaumwa ili tusiende.
3. Kuzungumza na mwajiri wako akubadilishie mazingira ya kazi na akuongezee ujira maana uliona nao unaona haitoshi na haulingani na unachozalisha ( hii inategemea wewe ni wa muhimu kiasi gani kwenye nafasi iliyopo, kama kazi unayofanya inaweza tu kuwa replaced na yeyote with a just a blink of an eye, usitikise niki kiberiti.
4. Kuanzisha biashara kabla ya kuacha kazi.
5. Kuacha kazi na kuingia mtaani mazima kupambana( huku hakuna visingizio vya naumwa, ni ukilala fresh, ukiamka fresh.
6. Mwombe Mungu akusaidie kujua your life purpose.
Wakati mwingine huwa tunashindwa kueexcel kwa kuwa tunafanya mambo yasiyo yetu.
So sali buddha.
Mwisho kabisa MAISHA HAYAKUPI HII LUXURY KIHIVYO.
HEBU FACE THE REALITIES.
HALAFU JIPE MIAKA 5, are you seeing them anywhere from where you stand?
Of not.
Rudia namba 1-6 na uzifanyie kazi.
All the best.
Thank you !Vumilia kwa wakati huu lakini on the other side tafuta mbadala au kazi ambayo itakupa amani ya moyo, kumbuka makazini na mahali ambapo tunaspend muda mwingi kuliko nyumbani kwa hiyo kufanya kazi ambayo haikupi furaha its meaningless kwenye maisha, sema usiache kazi mpaka upate kazi nyingine
Acha ndo utagundua umetupa dhahabu na uneokota jiweWakuu bila shaka hamjambo !
Aisee mimi ni mfanyakazi wa shirika moja nafanya kazi kwa kuzunguka the whole week.
Nachojishangaa hii kazi nahisi kabisa siitaki ila nafanya tu basi.
Kuna siku siendi nasingizia uongo wowote nashinda ndani. Kuna muda nahisi kama nimelogwa kabisa.
Mshahara ni wa kawaida sio wa kulipa pango na kujenga yani ni hela ya kubadili mboga na kulipa kodi.
Sasa najiuliza nitaishi hivi hadi lini, nimejitahid kubalance angalau nifungue biashara lakini wapi !!
Kiufupi sina mood na kazi hii. Huu ni mwaka wa 2 tangu niajiriwe.
Najihisi vibaya kila ikifika asubuhi.
Wakuu naweza kuwa na tatizo gani ?
You are welcomeThank you !
Sawa mkuuKuna siku nlikua namsikiliza Sheikh mmoja hivi...Alisema mtu anaweza kuwa na kazi lakini akiamka asubuhi anapata uzito mkuubwa kwenda kazini.....Inawezekana ikawa Ni Mambo ya kichawi..
So Kama hili Ni Tatizo Basi litafutie utatuzi..
Lakini pia unaweza badilisha kazi..unatafuta sehemu Nyingine.