NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,232
kwisha habari yako. teheee. we cheza na hem Aphrodite!!!Kama upo serious kweli mm nakuitaji.ipo nipo visiwani
kwisha habari yako. teheee. we cheza na hem Aphrodite!!!Kama upo serious kweli mm nakuitaji.ipo nipo visiwani
Duuh hapa hautapata mpenzi labda muoane wanawake wote,mwanaume hawezi kukubari kuona hiyo stickZote
utafumuliwa malinda ww!!!oooh,niko interested na wewe , please inbox or nipe contact zako. am so serious
hahahaLoooooooooh!!!! Pole sana kaka/dada yangu! Uliwahi kuonana na doctor?
Hahahhh jinsia ipi sasa aongeze mmejua nichekeshaOngeza jinsia ya Tatu hapo utawapata wengi
Kuna jirani yangu na yeye ana mbili lakini mwonekano wake kama dume ila jina lake HAPPINESS, siku moja kulikuwa na mashindano ya mitumbwi iliyodhaminiwa na TBL kulikuwa na makundi ya wanawake na wanaume, sasa yeye alivyoingia kundi la wanawake, wananchi wakapiga kelele mbona huyo dume anaingia kwa wanawake? Ikabidi Polisi waende kumpekua (polisi wa kike) wakakuta ni mwanamke lakini ana mbili, basi wakasema tumethibitisha ni mwanamke, watu aaaaaaaaaaaaaaaaaaa labda wamepewa rushwa hawa polisi
Mmh sasa atajiingizaje mwenywe na yy anahamu ya kufanywaMkuu, sasa kama zote ziko active, unatafuta mpenzi wa nini mwishowe uambukizwe magonjwa ya zinaa. Jipe raha mwenyewe, utaepuka mengi ikiwemo kuchepuka.
Sasa unazo mpenzi wa nini??Habarini za jioni wana jamii wenzangu,
Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.
Nipo serious,asanteni
Hapo umefuka bi dada.....Hermaphrodite ni scientific term na shemale ni layman language na zote zina same meaningPeople mmeanza kuchanganya kati ya Hermaphrodite na Shemale,
Hermaphrodite ni mtu ambae ANAZALIWA na jinsia zote mbili ambazo zinaweza zote kufanya kazi au moja.
Shemale ni MWANAUME ambae amefanya upasuaji na kuwekewa matiti, makalio, nywele, sauti, n.k VYA KIKE ila 'dushe' linabaki vile vile so anaweza kugegedwa na midume au kumgegeda mwanamke.
So huyo dada sio SHEMALE ni HERMAPHRODITE.
Kwan amesema ana hamu ya kufanywa jaman?Mmh sasa atajiingizaje mwenywe na yy anahamu ya kufanywa
Atajifanya mwenyewe, kwa sababu anazo zote mbiliMmh sasa atajiingizaje mwenywe na yy anahamu ya kufanywa
HAYA MAMBO YAPO. KUNA MWIGINE BUNDA YEYE ALIMWOA SHOGA YAKEE. WATOTOO HUW WAWAITA SHZNGAZI MKUBWA NA MDOGO.Habarini za jioni wana jamii wenzangu,
Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.
Nipo serious,asanteni
duh.. zte actv!!??,, hpo inbid uwe n wpenz wawli w jinsia tofautiZote