professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Baada ya kuona barua ya M23 wakilalamika juu ya kichapo wanachopewa na jeshi letu, wa Tanzania wengi wamefurahia Sana na mimi binafsi nimelipongeza sana jeshi letu tukufu.
Lakini wasiwasi wangu ni juu ya usalama wa taifa letu hasa mkoa wa Kigoma uliompakani mwa Congo na Rwanda.
Nawaza Kuwa M23 watakuwa sasa na kila sababu ya kusambaa na kujipenyeza Tanzania hasa mkoa wa Kigoma.
Rai yangu Kwa usalama wa taifa wa ongeze sana surveillance Katika mkoa wa Kigoma hasa maeneo ya mipakani mana naona harufu mbaya sana juu ya siku zijazo.
Lakini wasiwasi wangu ni juu ya usalama wa taifa letu hasa mkoa wa Kigoma uliompakani mwa Congo na Rwanda.
Nawaza Kuwa M23 watakuwa sasa na kila sababu ya kusambaa na kujipenyeza Tanzania hasa mkoa wa Kigoma.
Rai yangu Kwa usalama wa taifa wa ongeze sana surveillance Katika mkoa wa Kigoma hasa maeneo ya mipakani mana naona harufu mbaya sana juu ya siku zijazo.