Nina gundu sio bure

Mkuu nimekupata ntayafanyia kazi
 
Mkuu umenikumbusha harakati za Pimbi
, yani yule jamaa, anaingia na demu mpaka chumbani jamaa ashavua boksa, yani kinachokuja tokea utashangaa wanatoka nje wanakimbia hajawahi fanikiwa, anyway

√√mkuu usikate tamaa si unajua hawa viumbe wana penda kubembelezwa, kusifiwa, jitoe ufahamu tuu, msifie utaona , lakini usimpe pesa kwanza
 
Cku hiz hatutongozag tena.cku hz unaforce king tu.
 
Siku mitego yote wanaijua hao, wanaanza kukuthaminisha kwanza.

Inaonekana hujaelewa maana ya "mwanamme suruali" bro.

Jipange tu, siku hizi ni KUUZA NA KUNUNUA TU, yale ya zamani yamekwisha, mkuu
 
Hao ndio kawaida yao komaa tu Mimi mmoja ana mahusiano siku namdondoseja saundi anashindwa kukataa aanaishia tu kusema naogopa kumsaliti mchumba wangu ukiongeza moto anakuambia basi tutafanya maramoja tu halaf basi
 
Likuepukalo lina heri nawe!
 
tumia hela tu watakuelewa

me nikienda bar au club nikimwona msichana amenivutia simfati kwanza naanza kuchafua meza kwa bia za kutosha then namfata... huwa hawachomoi kabisa
 
pole mkuu.. sasa kuindoa hiyo ni kukoga mara saba usitumie sabuni !!
 
Siku hizi si lazima utongoze. Fanya mazoea naye siku chache halafu mtoe mara moja ya pili mchezo kwisha
 
huna gundu mkuu, sema kuna kitu unakosea si huwa mnasema sisi tukiongopewa ndio tunakubali usiwe mkweli sana eb jaribu kuwa muongo muongo
halaf ulete mrejesho
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…