Nina genye na rais obama msaada wenu tafadhali

Nina genye na rais obama msaada wenu tafadhali

Mi sidhani kama ni wewe kweli. Mi nadhani ni dume anaji-pretend kuwa ww. Andika upya labda nitaamini unamananisha kweli au unadhani ni mchezo tu wa kujifurahisha kwenye JF.

endelea kuamini hivohivo watakuja wengine kukuhakikishia wacha mie niendelee na plan zangu za kumeet Obama I cant wait the day looh
 
I salute all MMU,
Leo niko kivingine kabisa si kwamba mtu ameiba password yangu La hasha wala si bange ninazokula. Ni hivi tangu nilipojua kuwa Obama anakuja bongo nimekuwa nikijisop sop kila mahali now niko fit and ready. Msaada ninaoutaka ni mtu anisaidie niwe among watanzania watakaomhudumia Rais Obama na nikipata hiyo nafasi nimlaghai hadi aweke tupu zake kwangu na niko siku za hatari so itanasa tuu. Wana MMU nisaidieni tafadhali.
It's me sakapal

Hizi GENYE zako zitakunyonga hahahah! umenichekesha sana jamani!!!!
 
Kuna mtu amesha unganishwa na akafanikiwa.
Walitumia condom, dada ameiweka freeza.
Anauza hiyo used condom na supu yake,
utapenda nikuunganishe kwa huyo dada
halafu upeleke supu wakakufanyie in vitro?
 
endelea kuamini hivohivo watakuja wengine kukuhakikishia wacha mie niendelee na plan zangu za kumeet Obama I cant wait the day looh
Ngoja nikupatie msaada... Pitisha ombi la kuonana naye kupitia OPA (Office of Public Affairs). It is a single point of contact for all inquiries. Good luck. Iwe kwa mazuri tuu lakini isiwe kwa wazo baya unalolitaka....... Ushindwe.
 
just pm me and give me your phone number. i gonna give it to hon. president Obama. i'm working with US Embass in Tanzania!
don't miss this rare chance young lady.
Big Papa msaada wako nimeuona asante sana i put ur help as alternative plan B incase plan A fail, but have all my details in pm.
 
Last edited by a moderator:
Babu Asprin usiende..unaona lakini wajukuu zako??!
Ona na Evelyn Salt kaongezeka.

Halafu, namwita sakapal kwa maombi unaona alichonijibu?! Bangi mbaya sana...

Hivi babu hawa nao uliwakagua??!

Hapa niko kavu kavu we mentali husikii sina bange wala lawalawa wala mtu hajaiba pass word, alafu wewee nikaguliwe kwani mie nyara?
we hayo maombi unayokazania kunifanyia maombi gani hayo usiyoyaporomosha humuhumu unataka nije wapi tena? kama maombi kweli yaangushe humuhumu huko pembeni mie sisogei nimekatazwa nsije kunaniiliwa bureee
Vinginevyo uwe unanifanyia maombi ya kuonana na Obama hapo ntakuja hata ukisema popote pale heheheeee
ila unavokazana na maombi nahisi umesahau kuiambia bange ikubangue.....................
 
Hebu angalia post nyingine ya huyo dada ambayo kwa pamoja zimenifanya nihisi ana pepo. maana kwa hali ya kawaida uwe una mume halafu umtamani mwingine kiasi cha kutaka kuzaa ili hali hata hakujui isipokuwa unamwona pichani na uwe tayari kwa lolote ili mradi utimize hamu yako. ktk akili ya kawaida kwa mwanamke mwenye mume haiingii akilini.

hahaaa umenifanya nicheke na hako ka quote ka huyo bi dada ulikokaleta hum ndani
 
Kuna mtu amesha unganishwa na akafanikiwa.
Walitumia condom, dada ameiweka freeza.
Anauza hiyo used condom na supu yake,
utapenda nikuunganishe kwa huyo dada
halafu upeleke supu wakakufanyie in vitro?

shosti nashukuru kwa kuona kuwa ni ngumu mie kuonana na Obama ila after few months ntawawekea tumbo langu humu kama avatar muhakiki kuwa nilifanikiwa, hadi dakika hii nimekamilisha mambo kwa asilimia 90 ya mimi kuonana na Obama kwa hiyo hiyo freezed porridge reserve kwa wengine mie nakula vitu fresh na sitakubali kukingiwa kwenye nailon maana lengo langu pia inase.
Vinginevyo ningekuwa nataka ya kufanyiwa vitro ningeshafanya siku nyingi tangu ameupata urais kwa mara ya kwanza, mie nimelenga hii ya kuja tz nchini kwangu then afunge goli la ugenini sjui umeipata pwent hapo? haya bana ngoja nimalizie mchakato.
 
I salute all MMU,
Leo niko kivingine kabisa si kwamba mtu ameiba password yangu La hasha wala si bange ninazokula. Ni hivi tangu nilipojua kuwa Obama anakuja bongo nimekuwa nikijisop sop kila mahali now niko fit and ready. Msaada ninaoutaka ni mtu anisaidie niwe among watanzania watakaomhudumia Rais Obama na nikipata hiyo nafasi nimlaghai hadi aweke tupu zake kwangu na niko siku za hatari so itanasa tuu. Wana MMU nisaidieni tafadhali.
It's me sakapal
sakapal day dreaming or?
 
Last edited by a moderator:
Kwa hili la obama sijui ni bangi ama ndo uko sober...am confused!

Hheheheeeeeee wacha weeeh endelea kubanguka mwaya naona umekolea mbayaa na bange mie tangu juzi sijagusa kitu hadi kieleweke kwa Obama, si unajua hizo zinaharibugi mimba? sitaki kujitia mawaa
 
Back
Top Bottom