Avatar yako kiboko. Nimeipenda
astaghafulilah ..Yesu rudi leo leo ..
Unaniita kwa maombi au bange, hope unanisoma somo linaloingia now ni Obama tuu ndo mhemko wangu utaisha.
Hilo ni pepo dada yangu chukua hatua kulishughulikia kabla halijakufikisha pabaya, leo unamtamani obama kesho utamtamani baba yako.
kumpenda obama ni pepo?
Obama ni mume wa mtu...don't you know that?
samahani kaka!!!
I salute all MMU,
Leo niko kivingine kabisa si kwamba mtu ameiba password yangu La hasha wala si bange ninazokula. Ni hivi tangu nilipojua kuwa Obama anakuja bongo nimekuwa nikijisop sop kila mahali now niko fit and ready. Msaada ninaoutaka ni mtu anisaidie niwe among watanzania watakaomhudumia Rais Obama na nikipata hiyo nafasi nimlaghai hadi aweke tupu zake kwangu na niko siku za hatari so itanasa tuu. Wana MMU nisaidieni tafadhali.
It's me sakapal
I salute all MMU,
Leo niko kivingine kabisa si kwamba mtu ameiba password yangu La hasha wala si bange ninazokula. Ni hivi tangu nilipojua kuwa Obama anakuja bongo nimekuwa nikijisop sop kila mahali now niko fit and ready. Msaada ninaoutaka ni mtu anisaidie niwe among watanzania watakaomhudumia Rais Obama na nikipata hiyo nafasi nimlaghai hadi aweke tupu zake kwangu na niko siku za hatari so itanasa tuu. Wana MMU nisaidieni tafadhali.
It's me sakapal
Samahani ya nini tena rafiki?
Teh! mi pia nampenda sana ila mapenzi ya kawaida tu....ni pepo pia?