Nina genye na rais obama msaada wenu tafadhali

Nina genye na rais obama msaada wenu tafadhali

kumpenda obama ni pepo?

Mie nikigombana na hubby huwa namwambia ungechelewa kidogo ningekuzaa maana unavontia sijakoma kinachofuata baada ya hapo anantia mfululizo hadi nikienda bafuni natembea migulu baja au simama dede. Sasa hapo pia huwa nakosea au ni sawa?

Hebu angalia post nyingine ya huyo dada ambayo kwa pamoja zimenifanya nihisi ana pepo. maana kwa hali ya kawaida uwe una mume halafu umtamani mwingine kiasi cha kutaka kuzaa ili hali hata hakujui isipokuwa unamwona pichani na uwe tayari kwa lolote ili mradi utimize hamu yako. ktk akili ya kawaida kwa mwanamke mwenye mume haiingii akilini.
 
nakushauri hivi tafuta watu wa WSPD ama download form yao kwenye mtandao lipia sh 1,000,000/= kisha nenda pale mwalimu nyerere CC utapigwa picha ya kitambulisho.
sasa utakapopata hii smart card siku atakapokuja utakaanae kwenye discussion hapo unaweza kuja na zile ndumba zako hata ukimshika tu mkono akasema anataka kuongea na wewe. Ila make shure kwamba yu know anything kuhusu technolijia manake ndicho atakachojadili.
 
Sakapal......inaonyesha ww ukiona mtu mweupe sio mzungu wadudu wanashuka
 
nakushauri hivi tafuta watu wa WSPD ama download form yao kwenye mtandao lipia sh 1,000,000/= kisha nenda pale mwalimu nyerere CC utapigwa picha ya kitambulisho.
sasa utakapopata hii smart card siku atakapokuja utakaanae kwenye discussion hapo unaweza kuja na zile ndumba zako hata ukimshika tu mkono akasema anataka kuongea na wewe. Ila make shure kwamba yu know anything kuhusu technolijia manake ndicho atakachojadili.

Thank you very much for such a useful information nakupendajeee, yaani shosti umenisaidia mnoooo, ntakurushia mauturi ya marekani looh
 
I salute all MMU,
Leo niko kivingine kabisa si kwamba mtu ameiba password yangu La hasha wala si bange ninazokula. Ni hivi tangu nilipojua kuwa Obama anakuja bongo nimekuwa nikijisop sop kila mahali now niko fit and ready. Msaada ninaoutaka ni mtu anisaidie niwe among watanzania watakaomhudumia Rais Obama na nikipata hiyo nafasi nimlaghai hadi aweke tupu zake kwangu na niko siku za hatari so itanasa tuu. Wana MMU nisaidieni tafadhali.
It's me sakapal

Tafadhali onana na psychiatrist.
 
I salute all MMU,
Leo niko kivingine kabisa si kwamba mtu ameiba password yangu La hasha wala si bange ninazokula. Ni hivi tangu nilipojua kuwa Obama anakuja bongo nimekuwa nikijisop sop kila mahali now niko fit and ready. Msaada ninaoutaka ni mtu anisaidie niwe among watanzania watakaomhudumia Rais Obama na nikipata hiyo nafasi nimlaghai hadi aweke tupu zake kwangu na niko siku za hatari so itanasa tuu. Wana MMU nisaidieni tafadhali.
It's me sakapal
sakapal kama ukimkosa na ukiwa bado na genye Obamawabongo nipo kwa ajili yako
 
Last edited by a moderator:
I salute all MMU,
Leo niko kivingine kabisa si kwamba mtu ameiba password yangu La hasha wala si bange ninazokula. Ni hivi tangu nilipojua kuwa Obama anakuja bongo nimekuwa nikijisop sop kila mahali now niko fit and ready. Msaada ninaoutaka ni mtu anisaidie niwe among watanzania watakaomhudumia Rais Obama na nikipata hiyo nafasi nimlaghai hadi aweke tupu zake kwangu na niko siku za hatari so itanasa tuu. Wana MMU nisaidieni tafadhali.
It's me sakapal
sakapal kama ukimkosa na ukiwa bado na genye Obamawabongo nipo kwa ajili yako
 
Last edited by a moderator:
my wee ile kozi imesiha au bado!?
eheheehheheh nishasema mpkaa hiyo kozi iishe hakuna rangi tutaacha kuona!
khaaaa!!

shosti shosti hii kozi si bure nahisi nilifungashiwa na furushi yaani hata mie sejielewi elewi looh!!
Mwenzio nimeoteshwa hukuhuku nikiwa kozi kuwa nikipata mbegu ya Obama tuu basi mambo yangu nyororooo yaani hapa nshaseti mambo nakwambia hadi jumatano ntakuwa nasubiria niko first line hata siamini wallaaah ikikamata ntaweka picha ya tumbo langu hapa wote mshuhudie. (Ila maneno haya kaka yako asiyasome, maana wanaume hawana moyo wa uvumilivu kama wetu.......)
 
I salute all MMU,
Leo niko kivingine kabisa si kwamba mtu ameiba password yangu La hasha wala si bange ninazokula. Ni hivi tangu nilipojua kuwa Obama anakuja bongo nimekuwa nikijisop sop kila mahali now niko fit and ready. Msaada ninaoutaka ni mtu anisaidie niwe among watanzania watakaomhudumia Rais Obama na nikipata hiyo nafasi nimlaghai hadi aweke tupu zake kwangu na niko siku za hatari so itanasa tuu. Wana MMU nisaidieni tafadhali.
It's me sakapal
Mi sidhani kama ni wewe kweli. Mi nadhani ni dume anaji-pretend kuwa ww. Andika upya labda nitaamini unamananisha kweli au unadhani ni mchezo tu wa kujifurahisha kwenye JF.
 
Hebu angalia post nyingine ya huyo dada ambayo kwa pamoja zimenifanya nihisi ana pepo. maana kwa hali ya kawaida uwe una mume halafu umtamani mwingine kiasi cha kutaka kuzaa ili hali hata hakujui isipokuwa unamwona pichani na uwe tayari kwa lolote ili mradi utimize hamu yako. ktk akili ya kawaida kwa mwanamke mwenye mume haiingii akilini.

nimepata majibu mengi tuu ya kukujibu ila kwa kuwa wewe sio strategy nimeyaacha maana ningeyaandika ningezua mjadaka mwingine wakati mie nataka Mr President of the world. Nahisi watatokea wengine kuja kukujibu tuu mie nareserve yakwangu maana niko kwenye maandalizi ya mwisho. Keep on wioshing me luck dude!!
 
Back
Top Bottom