mkuu kwanza hongera vitu vingine watachangia wenzangunaitaji kuchagua kozi ya kunifaa chuon nina one ya point tano advance nmesoma HGL na o-level nina F-Maths na nlisoma pure arts
ushauri wenu wana jamvi
watu kama hawa walisoma kwa ajili ya kufauli mtiani tu.Si bora usingesoma kama umesoma ila hujui kwanini ulisoma