athumani mfaume jr
Member
- Aug 27, 2017
- 31
- 44
Boresha cv yako mkuu imekaa kizamani sana! Hakuna haja ya kuweka martial status,age, etc kwenye personal details! Kila la kheri kwenye utafutaji wa ajira!Mimi ni muhitimu wa degree ya IT na biashara niliyohitimu mwaka 2020 katika chuo kikuu mzumbe kampasi kuu morogoro, nina uzoefu na mambo ya IT. Ni mkazi wa dar es salaam.
Ninaomba mwenye fursa ya kunisaidia kupata kazi ya aina yoyote nipo tayari kuifanya naomba wakuu tusaidiane kwa mawasiliano zaidi namba ni hizi 0656058186/ whatsapp 0627781186
0764 467564- Anahitaji IT& Network personal - Tanga Asap b4 new year,Sina connection naye usinifuate PM.tuma cvMimi ni muhitimu wa degree ya IT na biashara niliyohitimu mwaka 2020 katika chuo kikuu mzumbe kampasi kuu morogoro, nina uzoefu na mambo ya IT. Ni mkazi wa dar es salaam.
Ninaomba mwenye fursa ya kunisaidia kupata kazi ya aina yoyote nipo tayari kuifanya naomba wakuu tusaidiane kwa mawasiliano zaidi namba ni hizi 0656058186/ whatsapp 0627781186
Kakaa,Je unaweza kutengeneza App /website nijibu kabla sijakupigia kukupa mchongo
ahsant san mkuu0764 467564- Anahitaji IT& Network personal - Tanga Asap b4 new year,Sina connection naye usinifuate PM.tuma cv
website naweza ila app bado sina uzoefu nay sanaKakaa,
ndiyo nawezaKakaa,
Siku si nyingi wana graduate wengine...Mimi ni muhitimu wa degree ya IT na biashara niliyohitimu mwaka 2020 katika chuo kikuu mzumbe kampasi kuu morogoro, nina uzoefu na mambo ya IT. Ni mkazi wa dar es salaam.
Ninaomba mwenye fursa ya kunisaidia kupata kazi ya aina yoyote nipo tayari kuifanya naomba wakuu tusaidiane kwa mawasiliano zaidi namba ni hizi 0656058186/ whatsapp 0627781186
ahsante sanaKila lakheriiiiii...Mungu akutangulie
jifunze vitu ujuzi unaweza kukubeba kuliko wenye vyetiKila la kheri mkuu. Sisi tuliosomea IT mtandaoni sijui CV zetu zitakaaje
hivi IT ni code ya yale magari ya mizigo ya masafa marefu auMimi ni muhitimu wa degree ya IT na biashara niliyohitimu mwaka 2020 katika chuo kikuu mzumbe kampasi kuu morogoro, nina uzoefu na mambo ya IT. Ni mkazi wa dar es salaam.
Ninaomba mwenye fursa ya kunisaidia kupata kazi ya aina yoyote nipo tayari kuifanya naomba wakuu tusaidiane kwa mawasiliano zaidi namba ni hizi 0656058186/ whatsapp 0627781186
Saloon ya kiumeKazi yoyote? Kuna kazi ya scrub ofisini kwangu. Uko tayari?
Mkuu Unataka animations za namna Gani. Fafanua kodogo huu mm Nika fit hiyo position 😃Animation unaweza?