Mimi pia nilikua na hilo tatizo la hasira niko fresh mda huu,
1.acha kutegemea chochote kwa huyo mwanamke, wewe amua kua wewe ndio uliempenda hata afanye kosa gani msamehe kama mtoto bila hivyo huchomoki
2.kama unafanya kazi au biashara moja anzisha biashara ingine hata iwe ndogo kiasi gani peleka hasira huko
3.kuhusu wanawake kuna kipindi nilikua na demu mkali, njia pekee ilonifanya ni dumu naye ni yani nilikua sitarajii chochote kizuri kutoka kwake kila akifanya kitu kizuri kwangu ilikua surprise
4.acha kutarajia vitu vikubwa kama bado hata hakuna hatua zinazoonekana kwenye kazi zako, hasira inaenda mkono kwa mguu na matarajio yasiyo onekana
5.acha kutarajia kitu chochote kwa ndugu zako ambao unahisi wanaweza kukusaidia lakini hawakusaidii hili nalo linafuga hasira kwa watu wengi.
6.acha utoto bwana anza kulala masaa matatu kwa siku wanaume hatulali
7.tafuta mwanamke wa kawaida kabisa ambaye kwa hakika ujue anakupenda hata kidogo, huyo jini kisirani usimwache.
6.mjinga wewe
7. point za maana hapo ni 1 hadi 5 mimi ni daktari wa hisia chukua kama zilivyo screenshot sawa.
8. kama tatizo lako litaendelea reply nikupe namba utume fedha niwe nakufanyia ushauri nasaha kila siku