Habari zenu wakuu!!
Nina degree ya IT na pia nilijiendeleza kwa kusoma professional course za CCNA na MCP na kufaulu na kupata vyeti na ninaujuz wa kutosha baada ya hapo niliamua kufanya kazi ya kujitolea taasis fulani ili niongeze ujuzi zaidi sasa naona naweza kuingia kwenye hii dunia ya ushindan, naomba kuajiriwa kwa m2 au kampuni yoyote ilio tayari kufanya kazi na me ili kusukuma gurudumu la taifa,ingawa Najua hili c jukwaa lake lkn Najua huku kuna wataalam wengi wenye uzoefu ambao wanaweza wakanipa hata ushauri au kuniambia nn cha kufanya.ahsanten
Nina degree ya IT na pia nilijiendeleza kwa kusoma professional course za CCNA na MCP na kufaulu na kupata vyeti na ninaujuz wa kutosha baada ya hapo niliamua kufanya kazi ya kujitolea taasis fulani ili niongeze ujuzi zaidi sasa naona naweza kuingia kwenye hii dunia ya ushindan, naomba kuajiriwa kwa m2 au kampuni yoyote ilio tayari kufanya kazi na me ili kusukuma gurudumu la taifa,ingawa Najua hili c jukwaa lake lkn Najua huku kuna wataalam wengi wenye uzoefu ambao wanaweza wakanipa hata ushauri au kuniambia nn cha kufanya.ahsanten