Nina bajeti ya laki 5-6 nahitaji smartphone nzuri

Nina bajeti ya laki 5-6 nahitaji smartphone nzuri

puppa

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2015
Posts
379
Reaction score
176
Habari zenu watanzania? ni smartphone gani zuri nitaipata kwa tsh laki 5-6?
 
ni watsup kwa no hii nikupe list ya cmu zaidi ya arobaini kwa bei nzuri unachagua mwenyew 0715 715 385
Watanzania n wavivu kusoma umeshindwa kusoma comments za hapo juu? Mtoa mada amefariki subiria Kidogo mkuu akishapelekwa kwenye makazi yake ya milele atakuwasap mtachonga
 
Watanzania n wavivu kusoma umeshindwa kusoma comments za hapo juu? Mtoa mada amefariki subiria Kidogo mkuu akishapelekwa kwenye makazi yake ya milele atakuwasap mtachonga
Akili za watz zishakuwa kama za mwendokasi!

OVA
 
Njoo pm nikuuzie iPhone 6 original, new brands na inakuwa complete kila kitu
Power bank,
Ear phones,
Extra battery,
Charger,
2 phones cover.

Ni pm haraka tufanye biashara.....
 
Back
Top Bottom