Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Hahahaha, anawadhalilisha siyo!..umenikumbusha wakati gx110 zinaingia jamaa aliumizwa 18M wakati huo mimi 13M gari mpya kuliko yake jamaa aliumia sana.
hahaha umeona....sasa imagine mtu anakuja na milioni 3 anataka gari kama hiyo? na mtu katoka kupigwa kitu cha 18M au ndo kama ivi umenunue kitu kimesimaam kwa 13M....huyu atasubiri sana sema ndo kama anavosema mkuu King Kong III kwamba kuna watu wanakuja kuweka sredi kufurahisha genge tu apa
Last edited by a moderator: