Siongezi hata mia.niko mwanza hadi jumatano ijayo nikiwa safarini to Arusha then to Dar.
Nina kazi maalum.
wauzaji tuwasiliane hapa hapa JF.Sitaki PM
Nitakuwa online au kuingia Jf mara kwa mara hadi jumatano ijayo.
asante.No siyo ukali,kuna mijitu mingine kila kitu ni ngono kwao.
asante kwa ushauri
ipo harrier million kumi sema haitembei
Loh, unajua tatizo ni jinsi wewe mwenyewe ulivyoweka tangazo na kujihami kwingi ndiyo maana watu wengine wameanza kukuzingua pm (kama ni kweli, lakini siamini kama ni kweli!). Kwa haraka uliyonayo ni ngumu kupata hizo gari kwa hiyo bei! Usingekuwa na haraka wala hauna haja ya kusikiliza hizi kelele za watu wanaponda hicho kiduchu ulichonacho unaweza kupata gari nzuri tu, last time nimeuza xtrail 1.05M, imesimama sana na namba yake ni B, imetembea km 120K, mpaka leo niliyemuuzia anashukuru vibaya mno.
Mkuu Baba V mbona uyu anatudhalilisha hivi na magari yetu? Yaani ameambiwa gx100 iyo? Hebu mwambie bei zake bana
Jomba hapo kwenye bold hapo mmmmh..!!! Hata pikipiki ya kichina hupati...
Mkuu Baba V mbona uyu anatudhalilisha hivi na magari yetu? Yaani ameambiwa gx100 iyo? Hebu mwambie bei zake bana
Watu mna Harrier & X- Trail mnachoooonga!! Hv mngekuwa basi hata Vogue au hata Amazon si ndio mnge mharishia maneno zaidi dada wa watu!
Viela vyenyewe mbuzi halafu unaleta jeuri kweli,tu milion 10 ndo ya kuleta ngebe humu? Eti sitaki pm siongezi hata sumni my a.s.s kama hauna hela acha kununua vitu vizuri,yapo ma TOYO,SAN LG yanakufaa,Harrier hata ya 3.0 haupati kwa 10,x-trail ndio usiseme!!! Hauna tofauti na viola aliyelimwa risasi ya bega.