Nina 10m nahitaji gari Harrier au Xtrail.Niko mwanza

Nina 10m nahitaji gari Harrier au Xtrail.Niko mwanza

FTP

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2013
Posts
514
Reaction score
240
Siongezi hata mia.niko mwanza hadi jumatano ijayo nikiwa safarini to Arusha then to Dar.
Nina kazi maalum.

wauzaji tuwasiliane hapa hapa JF.Sitaki PM
Nitakuwa online au kuingia Jf mara kwa mara hadi jumatano ijayo.


Update
Nashukuru sana Jf ,wiki iliyopita hii gari tulipata kwa 11M Dar!

Nwashukjuru sana,hivi sasa nakula bata!

Kuna watu humu niliposema nimenunua TOYOTA harrier walinibeza na kudhani utani.
Sana nimecopy hili tangazo kutoka gazetini muone bei za magari .Ukubwa wa pua siyo makamasi!

Leo kwenye gazeti la MAWIO uk wa 12 nimesoma tangazo la kuuza magari mabalimbali yakiwwemo.

1.Nissan XTRAIL-9.8M 2001 MODEL
- Petrol Engine
-Automatic Gear Transmission
- Air Conditioned
-Imported from Japan
-Taxes &import duty paid

2.TOYOTA harrier-
9.8M 2000 MODEL
-5s Petrol Engine
- 4cylinder,fuel efficient engine
- Automatic Gear Transmission
--Imported from Japan
-Air conditioned
- Taxes &import duty paid

Fika kukagua hayo magari TABATA RELINI,MANDELA ROAD DAR ES SALAAM
Piga simu 0784 45 89 82

Habari ziwafikie hawa (nafikiri niwaite sijui wakuda)
Mavotah 123Kape
lowale Kaizer
Baba V TARIMO WA ROMBO
MTK Tripo9
Cynthia Chriss Mlayjr
Money Stunna mzurimie
King Kong III
 
Nasisitiza tena.
Sitaki majibu kupitia PM.kwa nini msijibu hapa mpaka chemba,sijui nitakuongezea uchukue nzuri.Hivi nyie mibaba vip.

Mtu atakaye ni-PM mambo ya kipuuuzi nitaileta huku.
Jiheshimu.Kama huusiki na bisahra ya magari kaaa kimya.
 
Mbona mkali hivyo!!!? kwa pesa hiyo na gari ulizotaja... utasubiri sana.. labda uongeze japo m5 ndo upate Xtrail...

asante.No siyo ukali,kuna mijitu mingine kila kitu ni ngono kwao.

asante kwa ushauri
 
Acha kujiami pesa yako ndogo alafu unakuwa mkari au Umeshazoea kugawa ngono kama unavyojielezea kwa bei hio unapata kama ungekuwa dar.
 
Siongezi hata mia.niko mwanza hadi jumatano ijayo nikiwa safarini to Arusha then to Dar.
Nina kazi maalum.

wauzaji tuwasiliane hapa hapa JF.Sitaki PM
Nitakuwa online au kuingia Jf mara kwa mara hadi jumatano ijayo.
Gari kama hizo kwa offer hiyo itabidi uende scrap yard kaka; hizo ni mini SUV's!
 
hupati ng'o labda upate bodi na matairi ya harrier au xtrail...au nikuuzie chasis na matairi na injini!!!!ni ya xtrail na haina taa utaweza visha hata body ya land rover zipo hadi laki 2 pale kimara
 
Nipe hela hiyo nikupe nadia ya 2000 imesajiliwa kwa namba c ndo imetoka
 
Mbona mkali hivyo!!!? kwa pesa hiyo na gari ulizotaja... utasubiri sana.. labda uongeze japo m5 ndo upate Xtrail...

Mkuu Baba V mbona uyu anatudhalilisha hivi na magari yetu? Yaani ameambiwa gx100 iyo? Hebu mwambie bei zake bana
 
Last edited by a moderator:
mimininayo x.trail nissan CGN ndo reg no yake. Nipe milioni 16 nikuachie
 
Nasisitiza tena.
Sitaki majibu kupitia PM.kwa nini msijibu hapa mpaka chemba,sijui nitakuongezea uchukue nzuri.Hivi nyie mibaba vip.

Mtu atakaye ni-PM mambo ya kipuuuzi nitaileta huku.
Jiheshimu.Kama huusiki na bisahra ya magari kaaa kimya.

Loh, unajua tatizo ni jinsi wewe mwenyewe ulivyoweka tangazo na kujihami kwingi ndiyo maana watu wengine wameanza kukuzingua pm (kama ni kweli, lakini siamini kama ni kweli!). Kwa haraka uliyonayo ni ngumu kupata hizo gari kwa hiyo bei! Usingekuwa na haraka wala hauna haja ya kusikiliza hizi kelele za watu wanaponda hicho kiduchu ulichonacho unaweza kupata gari nzuri tu, last time nimeuza xtrail 10.5M, imesimama sana na namba yake ni B, imetembea km 120K, mpaka leo niliyemuuzia anashukuru vibaya mno.
 
Hiyo hela yako nenda kalime miwa pale kilombero unaweza ukapata hela ya kununua harrier,,
 
pesa yenyewe ndogo harafu unatuletea ukali. ungekuwa una million 50 si ungetukana watu wote umu .

hiyo ela utapata gari hizo lakin anza kujenga urafik na mafundi gereji mapema. usiniulize kwa nini
 
Back
Top Bottom