FTP
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 514
- 240
Siongezi hata mia.niko mwanza hadi jumatano ijayo nikiwa safarini to Arusha then to Dar.
Nina kazi maalum.
wauzaji tuwasiliane hapa hapa JF.Sitaki PM
Nitakuwa online au kuingia Jf mara kwa mara hadi jumatano ijayo.
Update
Nina kazi maalum.
wauzaji tuwasiliane hapa hapa JF.Sitaki PM
Nitakuwa online au kuingia Jf mara kwa mara hadi jumatano ijayo.
Update
Nashukuru sana Jf ,wiki iliyopita hii gari tulipata kwa 11M Dar!
Nwashukjuru sana,hivi sasa nakula bata!
Kuna watu humu niliposema nimenunua TOYOTA harrier walinibeza na kudhani utani.
Sana nimecopy hili tangazo kutoka gazetini muone bei za magari .Ukubwa wa pua siyo makamasi!
Leo kwenye gazeti la MAWIO uk wa 12 nimesoma tangazo la kuuza magari mabalimbali yakiwwemo.
1.Nissan XTRAIL-9.8M 2001 MODEL
- Petrol Engine
-Automatic Gear Transmission
- Air Conditioned
-Imported from Japan
-Taxes &import duty paid
2.TOYOTA harrier-9.8M 2000 MODEL
-5s Petrol Engine
- 4cylinder,fuel efficient engine
- Automatic Gear Transmission
--Imported from Japan
-Air conditioned
- Taxes &import duty paid
Fika kukagua hayo magari TABATA RELINI,MANDELA ROAD DAR ES SALAAM
Piga simu 0784 45 89 82
Habari ziwafikie hawa (nafikiri niwaite sijui wakuda)
Mavotah 123Kape
lowale Kaizer
Baba V TARIMO WA ROMBO
MTK Tripo9
Cynthia Chriss Mlayjr
Money Stunna mzurimie
King Kong III