Nimwambie uncle....

Nimwambie uncle....

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,573
Reaction score
3,255
wapendwa wa kuu wa kaya hi,nawasalimu...week kama mbili hivi nilipata uwamisho wa kazi kwenda tanga,ikwa vile nilikuwa bado sijapata makazi nilifikia kwa uncle wangu,na kweli nilikaribiswa vizuri sana na uncle na anti,tatizo lilianza kama wiki moja kupita,siku mmoja jumapili nikwa nimejipumzisha sebuleni nikiwa na angalia tv anti alikuja tukawa tumejumuika pamoja,angalizo anti hatuja pishana sana umri na ni sister du,mtoto wa mjini,mikao aliokuwa anakaa pale sebuleni na kinguo alicho kivya kwa kweli kama rijali unaweza kutegeka,basi nikaone nitoke pale kuepusha shari nika aga naenda chumbani kupumzika, baada kama ya dakika kama 30 nilisikia mlango wa chumbani kwangu ukifunguliwa kuhamaki alikuwa anti na kanga moja,alifunga mlango na kudondosha kanga na kubaki kama alivyo zaliwa akielekea kitandani nilipo,nilipigwa na butwaa,katika mvutano wa hapa na pale niliweza kuponyoka na kutoka chumbani nikamuacha chumbani kwangu,niliamua kuondoka kabisa hapo nyumbani nikaenda matembezi...nikiwa huko alinitumia msg ''..........nakupenda sana tokea siku nilipo kuona,na mjomba ako anirizishi ninavyo taka,naomba msaada wako"kikweli nilichanganyikiwa na tokea siku hiyo na mkwepa kwepa ila naona aibu tukiwa wote na uncle na yeye.je nimwambie uncle maana bado ananitumia msg za kunitaka kimapenzi
 
Unataka kuvunja ndoa za watu wewe

na wakiachana story itakugeuka
itajulikana ulitembea nae

wewe si uhame tu hapo?

mbona ishu ndogo..how old are you?

halafu khanga moja ikidondoka hata chupi hakuna?au?
 
Nikisoma naona km vile stori za copy & paste!
Ulishasoma habari za Yusufu ktk Bible?...au uliangalia picha ya zamani ya Wanigeria iliyokuwa ikiitwa The Price?
Kama utaingia mtegoni na majaribu hayo basi utakujaondoka kwa aibu kwenye mtaa huo!
Huwezijua huenda anatumwa na mjomba kwa nia fulani ya kukuharibia!
 
wapendwa wa kuu wa kaya hi,nawasalimu...week kama mbili hivi nilipata uwamisho wa kazi kwenda tanga,ikwa vile nilikuwa bado sijapata makazi nilifikia kwa uncle wangu,na kweli nilikaribiswa vizuri sana na uncle na anti,tatizo lilianza kama wiki moja kupita,siku mmoja jumapili nikwa nimejipumzisha sebuleni nikiwa na angalia tv anti alikuja tukawa tumejumuika pamoja,angalizo anti hatuja pishana sana umri na ni sister du,mtoto wa mjini,mikao aliokuwa anakaa pale sebuleni na kinguo alicho kivya kwa kweli kama rijali unaweza kutegeka,basi nikaone nitoke pale kuepusha shari nika aga naenda chumbani kupumzika, baada kama ya dakika kama 30 nilisikia mlango wa chumbani kwangu ukifunguliwa kuhamaki alikuwa anti na kanga moja,alifunga mlango na kudondosha kanga na kubaki kama alivyo zaliwa akielekea kitandani nilipo,nilipigwa na butwaa,katika mvutano wa hapa na pale niliweza kuponyoka na kutoka chumbani nikamuacha chumbani kwangu,niliamua kuondoka kabisa hapo nyumbani nikaenda matembezi...nikiwa huko alinitumia msg ''..........nakupenda sana tokea siku nilipo kuona,na mjomba ako anirizishi ninavyo taka,naomba msaada wako"kikweli nilichanganyikiwa na tokea siku hiyo na mkwepa kwepa ila naona aibu tukiwa wote na uncle na yeye.je nimwambie uncle maana bado ananitumia msg za kunitaka kimapenzi

Una umri gani?? Nakuuliza hivyo maana pengine tatizo lako ni hilo. Huyo ni mke wa mjomba wewe ni mgeni hapo tumia busara pima matokeo ya kumwambia uncle. Mwachie mkewe haihitaji mjadala
 
Haitasaidia kitu ukimwambia uncle wako, zaidi kuharibu ndoa yao na kuvunja amani... Kwanza tabia kama hizo za wapenzi ni bora tu pale ambapo mpenzi aone na kuvumbua tabia hio mwenyewe, la sivyo unaweza sema na asikuamini vile vile.
 
Kumbuka usizini,pia yule ndi uncle hebu fikiria awakute atajisikiaje moyoni amekukaribisha vizuri wewe unamgeuka na kula tunda lake. Huyo mwanamke inaonekana amezoea sasa kma mumewe hamtoshelezi si aongee nae
 
wewe piga alafu unasepa ndivyo wanaume unatakiwa uwe kukimbia akusaidii sana, ungemchangamsha na kama vitatu hivi alafu kesho yake unamchunia kama humjui au hakuna kilichotokea
 
Mi nakushauri uondoke tena tafuta sababu mapema kabisa maana mwisho wa siku uta haribu ndoa ya uncle wako.

Wala usimwambie uncle wako inaweza ikakuletea matatizo.
Tumia busara hilo jambo si dogo kabisa lina weza vunja undugu kabisa.
 
Unakijua kile kitangazo cha "tat".."tat".."tat".."tat".."tat","tat".."tat".."tat" tuko wangapi? Tulizana...
 
tanga huko,utashushwa mshipa.hama as soon as possible.segere la huyo dada,muachie mwenyewe,asitake kugombanisha watu
 
ondoka fasta na kimya kimya bila hata kuaga asije akakuzulia mengine
ukihamishwa unalipwa hela za kujikimu sasa kilichokupeleka kukaa kwa uncle wako nini?
 
Umwambie uncle ili iweje! Kwanini uhame, nyumba zenyewe ghali sana, cha msingi hapo we mchane huyo Aunt kuwa yeye sio type yako, na umfagilii wala nini, mwambie aondoe mawazo ya kuwa uta do nae. Nahisi anahisi unatka, ila ukimchana live humind mzigo, sidhani kama atakufosi. Kuhama ni kuongeza gharama, wkt hapo kodi hutoi, misosi unajilia, na unapata comfort zote kama kiyoyozi, sofa, godoro dodoma sasa ukienda kupanga uta enjoy hivo?
 
I see,huyo dada anaonekana kweli ana matatizo,na usipomsaidia anaweza kutoka nnje ya ndoa,ni bora umsaidie ancle wako umfichie aibu yake na hiyo iwe ni siri yenu
wapendwa wa kuu wa kaya hi,nawasalimu...week kama mbili hivi nilipata uwamisho wa kazi kwenda tanga,ikwa vile nilikuwa bado sijapata makazi nilifikia kwa uncle wangu,na kweli nilikaribiswa vizuri sana na uncle na anti,tatizo lilianza kama wiki moja kupita,siku mmoja jumapili nikwa nimejipumzisha sebuleni nikiwa na angalia tv anti alikuja tukawa tumejumuika pamoja,angalizo anti hatuja pishana sana umri na ni sister du,mtoto wa mjini,mikao aliokuwa anakaa pale sebuleni na kinguo alicho kivya kwa kweli kama rijali unaweza kutegeka,basi nikaone nitoke pale kuepusha shari nika aga naenda chumbani kupumzika, baada kama ya dakika kama 30 nilisikia mlango wa chumbani kwangu ukifunguliwa kuhamaki alikuwa anti na kanga moja,alifunga mlango na kudondosha kanga na kubaki kama alivyo zaliwa akielekea kitandani nilipo,nilipigwa na butwaa,katika mvutano wa hapa na pale niliweza kuponyoka na kutoka chumbani nikamuacha chumbani kwangu,niliamua kuondoka kabisa hapo nyumbani nikaenda matembezi...nikiwa huko alinitumia msg ''..........nakupenda sana tokea siku nilipo kuona,na mjomba ako anirizishi ninavyo taka,naomba msaada wako"kikweli nilichanganyikiwa na tokea siku hiyo na mkwepa kwepa ila naona aibu tukiwa wote na uncle na yeye.je nimwambie uncle maana bado ananitumia msg za kunitaka kimapenzi
 
wapendwa wa kuu wa kaya hi,nawasalimu...week kama mbili hivi nilipata uwamisho wa kazi kwenda tanga,ikwa vile nilikuwa bado sijapata makazi nilifikia kwa uncle wangu,na kweli nilikaribiswa vizuri sana na uncle na anti,tatizo lilianza kama wiki moja kupita,siku mmoja jumapili nikwa nimejipumzisha sebuleni nikiwa na angalia tv anti alikuja tukawa tumejumuika pamoja,angalizo anti hatuja pishana sana umri na ni sister du,mtoto wa mjini,mikao aliokuwa anakaa pale sebuleni na kinguo alicho kivya kwa kweli kama rijali unaweza kutegeka,basi nikaone nitoke pale kuepusha shari nika aga naenda chumbani kupumzika, baada kama ya dakika kama 30 nilisikia mlango wa chumbani kwangu ukifunguliwa kuhamaki alikuwa anti na kanga moja,alifunga mlango na kudondosha kanga na kubaki kama alivyo zaliwa akielekea kitandani nilipo,nilipigwa na butwaa,katika mvutano wa hapa na pale niliweza kuponyoka na kutoka chumbani nikamuacha chumbani kwangu,niliamua kuondoka kabisa hapo nyumbani nikaenda matembezi...nikiwa huko alinitumia msg ''..........nakupenda sana tokea siku nilipo kuona,na mjomba ako anirizishi ninavyo taka,naomba msaada wako"kikweli nilichanganyikiwa na tokea siku hiyo na mkwepa kwepa ila naona aibu tukiwa wote na uncle na yeye.je nimwambie uncle maana bado ananitumia msg za kunitaka kimapenzi

Ungefikia kwako wewe... Kwa watu ulifuata nini?! Hata kama ni mgeni, pambana uanzishe mji wako. Ondoka hapo, sio mahali salama kwa afya na usalama wako gentlemen... Angalizo, usijekuwa umemung'unya tayari ndo unaleta hapa.
 
Unataka kuvunja ndoa za watu wewe

na wakiachana story itakugeuka
itajulikana ulitembea nae

wewe si uhame tu hapo?

mbona ishu ndogo..how old are you?

halafu khanga moja ikidondoka hata chupi hakuna?au?
mbona unamshauri kibabe kama mmegombana mwambie kiustaarabu bana the boss
 
Umwambie uncle ili iweje! Kwanini uhame, nyumba zenyewe ghali sana, cha msingi hapo we mchane huyo Aunt kuwa yeye sio type yako, na umfagilii wala nini, mwambie aondoe mawazo ya kuwa uta do nae. Nahisi anahisi unatka, ila ukimchana live humind mzigo, sidhani kama atakufosi. Kuhama ni kuongeza gharama, wkt hapo kodi hutoi, misosi unajilia, na unapata comfort zote kama kiyoyozi, sofa, godoro dodoma sasa ukienda kupanga uta enjoy hivo?
kaka tatizo hawa viumbe wana tabia ya kisasi na kutokupenda kudharauliwa huoni kwamba anaweza kutafuta mbinu ambayo inaweza kuwa mbaya ili amkomoe jamaa maana atakuwa na hasira naye.
 
Back
Top Bottom