Nimwambie uncle....

Nimwambie uncle....

Script tayari unayo, bado tu location movie inatoka hiyo!
 
do! michango yenu mizuri mno na inaonyesha jamii imebadilika mno yani kwa lugha nyingine inarudi kwenye maadili michango ni mizuri mno afanye madudu mwenyewe japo mazingira yanaonyesha mtuhumiwa ni teen 20-30 flani hivi form 6-chuo hivi kazi ipo
 
Mm niko Tanga kama vipi nitafute nikusaidia sehemu ya kuishi kuliko hayo matatizo unayoyatafuta
 
mkuu unaweza kutoa mawazo au kunyamaza,chagua moja,pole
kunawadau wanaziita story za shigongo...namashaka sana na hawa watoa hoja hiz,sio teenagers kweli hawa form4 or form6 leaver......???!!
 
do! michango yenu mizuri mno na inaonyesha jamii imebadilika mno yani kwa lugha nyingine inarudi kwenye maadili michango ni mizuri mno afanye madudu mwenyewe japo mazingira yanaonyesha mtuhumiwa ni teen 20-30 flani hivi form 6-chuo hivi kazi ipo
mkuu mi sio teen ni braza 30's nazani umeelewaaa
 
Usimwambie Uncle, wala usile mzigo maana ukimwambia umeharibu nyumba...na ukionja utachonga mzinga mwisho utakamatwa....mjibu kwa kifupi sana, kisha hama hapo.

Text Message
from:B'REAL
to: AUNT
date: 20 Sept 2012

TAFADHALI SANA TUHESHIMIANE. KAMWE HAITA TOKEA NIKAFANYA LOLOTE NA WEWE.
 
Back
Top Bottom