Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,952
- 10,591
Wanaume wa kikurya wengi ndivyo walivyoAiseeh pole sana, embu jaribu kutafuta namna ya kumsaidia yawezekana sio akili yake ni pepo la ugomvi analo, embu mshauri aende kwenye maombi atakuwa sawa
Wanaume wa kikurya wengi ndivyo walivyoAiseeh pole sana, embu jaribu kutafuta namna ya kumsaidia yawezekana sio akili yake ni pepo la ugomvi analo, embu mshauri aende kwenye maombi atakuwa sawa
Tupe mrejeshoHabari zenu?
Mimi ni member mkongwe humu.Nimebadili ID baada ya Id yangu ya zamani kubadilishwa password na 'kutekwa' na mwanamme alokuwa Mpenzi wangu.
Sitopenda kuitaja kwa kuwa ameshabadilisha user name na sihitaji kujitafutia matatizo kwa Kuwa hata huu uzi atausoma.Najua dude ninaloliamsha sio la dunia hii lakini nimeamua kama mbwai na iwe mbwai!
Nije moja kwa moja kwenye mada.Nimekuwa na mpenzi wangu huyu kwa muda wa miaka miwili.Kwa kweli mapenzi yetu yalianza kama utani tu humu jukwaani.Nakumbuka ilikuwa mada nachangia.Akani' quote' aisee mwanamme mkorofi huyu,alinitukana matusi ambayo sikujua chanzo chake.Kisa nilitetea mwanamke kuomba hela kwa mpenzi wake.
Sikumjibu mkurya yule.
Ikawa tabia yake akikuta hata like tu lazima ani harass!Nikawa namu ignore.Kitabia mimi ni mpole sana siwezi kujibishana.Nakumbuka mara ya mwisho yalinishinda nikamvaa na mimi hapa,libeneke lilichezwa nikaambulia ban ya mwezi.
Ban yangu ilivyoisha akanifuata Pm kwa upole akaniomba msamaha.Nikajikuta tu namsamehe.Mawasiliano yalianza na kupamba kasi kwa mwendo wa farasi.
Tukawa karibu mno mpaka baada kama ya mwaka hivi ndio nikawa huru japo kutoa namba yangu maana kwa kipindi hiko nilikuwa nimetoka kuachana na mtu sikutaka ukaribu wa haraka.
Baada ya kuonana na mawasiliano ya karibu sana tukajikuta tunapendana.Kwa kweli sikuwahi kujua kama kuna wanaume wakarimu kama huyu kaka nimwite 'Y'.
Yani He was so romantic,charming and loving.Alinipa madeko,alinipa mapenzi ya hali ya juu.Muda wa libeneke nilikuwa naomba 'po'.
Alikuwa mshauri wangu,rafiki yangu.
Nitake nini nisipewe,tofauti kabisa na nilivyomchukulia.Alinihamisha Sinza akanipeleka Mbezi karibu na kwake na kodi juu yake.Zaidi aliwapenda ndugu zangu wote alopata bahati ya kuwafahamu.Alikuwa sio bahili juu yangu kabisa.
Sikuwa mwepesi kutaka kumpeleka kwetu wala mimi sikukubali anipeleke kwao kwani niliwahi mpaka kutolewa barua ya uchumba alafu uchumba ukaisha baada ya mwanamme nilokuwa naye kuzaa na rafiki yangu kipenzi.
Jamani nilipohamia karibu na 'Y' ndio nilijua kama maharage ni mboga au kiungo cha makande.
Alinipiga marufuku kupitia kokote nikitoka kazini.Hataki marafiki wala jamaa.
Nikae ndani nipike nile nilale.Kazi yake ilikuwa inamkeep bussy mpaka saa tatu usiku basi lazima aje,aniangalie mara nyingi alikula.
Nikasema ngoja nitii.Nikaachana na marafiki nikawa mtu adimu hata kwenye masherehe ya watu sitokei tena.
Akija atakagua simu,emails tena akiwa very calm.
Jamani akikuta namba ngeni nitawekwa kikaangoni!Nilimweleza mimi sio mtu wa namna hiyo wala siwezi kumsaliti.
Jamani akawa anafanya ambush sasa,mara aje kimya kimya kama jambazi,mara aje dirishani mpaka akawa ananistua.Alivyoona haitoshi akaniomba nihamie kwake.Sikukubali nikawa nalala kwake mara nyingi kwangu nafunga.Mpaka siku nikavunjiwa mlango wa mbele na kusombewa kila kitu.
Hapo ndio akapata kisingizio cha kunihamishia kwake.Nilivyohamia kwake akazidisha wivu.Akipiga simu mchana kama inatumika nikirudi jioni nazabuliwa kama mtoto.Kitu kidogo mpaka anipige vibao.Nilikaa naye chini mara nyingi na kumweleza kutoridhishwa kwangu na ile tabia.Lakini hakuacha,nisipojisikia sex ngumi.Nikipigiwa na mwanamme ngumi.Nikapoteza furaha na nuru kabisa.Nikaamua kumuacha.
Nikaendelea na maisha yangu.Nikamblock kila mahali.Akija sifungui aisee mlango utapigwa mateke mpaka nafungua akiingia anaomba msamaha.Nikaamua kuhama baada ya usumbufu kuzidi.Sio kwamba nilikuwa simpendi ila mateso yake yalizidi.Kipigo jamani.
Akawatumia ndugu na rafiki zangu.Nikakubali turudiane ila sikutaka kurudi kwake.Sasa akahack kila kitu changu.Akadai anataka kuwaona wazazi.Moyo ukasita.Jamani Y alizidisha wivu hadi message za kuforward anakasirika.Ananipiga na bado sex anataka.
Nilishindwa kwa kweli.Namiss treatments na sex lakini nikikumbuka yale mateke na mangumi nashindwa.
Sijui nifanyeje ananistalk kila mahali mpaka kazin muda wa kutoka unamkuta Getini.Sina raha bila yeye nampenda lakini naogopa kumrudia hawezi kuacha kunipiga kabisa.
Naomba ushauri wenu.
HahahaAiseeh pole sana, embu jaribu kutafuta namna ya kumsaidia yawezekana sio akili yake ni pepo la ugomvi analo, embu mshauri aende kwenye maombi atakuwa sawa
Mkuu ukikubali kuolewa kanisani utasema I do lakini moyoni unajua kabisa "huko ni ninakokwenda cha moto nitakiona".
Kweli kabisaAchana naye mana mwisho wa siku anaweza kukata shingo alafu ikawa ndo mwisho wako, mbona wanaume tupo wengi mkuu ,ila amini ukipata mwanaume mwingine pia unaweza kuta ana mapungufu fulani aidha ni makubwa au madogo kuliko huyo kurya boy
Hebu angalia mobie ya j lo enough, itakufundisha kitu
Hayo mambo madogo sana kwa kuwa yanarekebishika kirahisiHabari zenu?
Mimi ni member mkongwe humu.Nimebadili ID baada ya Id yangu ya zamani kubadilishwa password na 'kutekwa' na mwanamme alokuwa Mpenzi wangu.
Sitopenda kuitaja kwa kuwa ameshabadilisha user name na sihitaji kujitafutia matatizo kwa Kuwa hata huu uzi atausoma.Najua dude ninaloliamsha sio la dunia hii lakini nimeamua kama mbwai na iwe mbwai!
Nije moja kwa moja kwenye mada.Nimekuwa na mpenzi wangu huyu kwa muda wa miaka miwili.Kwa kweli mapenzi yetu yalianza kama utani tu humu jukwaani.Nakumbuka ilikuwa mada nachangia.Akani' quote' aisee mwanamme mkorofi huyu,alinitukana matusi ambayo sikujua chanzo chake.Kisa nilitetea mwanamke kuomba hela kwa mpenzi wake.
Sikumjibu mkurya yule.
Ikawa tabia yake akikuta hata like tu lazima ani harass!Nikawa namu ignore.Kitabia mimi ni mpole sana siwezi kujibishana.Nakumbuka mara ya mwisho yalinishinda nikamvaa na mimi hapa,libeneke lilichezwa nikaambulia ban ya mwezi.
Ban yangu ilivyoisha akanifuata Pm kwa upole akaniomba msamaha.Nikajikuta tu namsamehe.Mawasiliano yalianza na kupamba kasi kwa mwendo wa farasi.
Tukawa karibu mno mpaka baada kama ya mwaka hivi ndio nikawa huru japo kutoa namba yangu maana kwa kipindi hiko nilikuwa nimetoka kuachana na mtu sikutaka ukaribu wa haraka.
Baada ya kuonana na mawasiliano ya karibu sana tukajikuta tunapendana.Kwa kweli sikuwahi kujua kama kuna wanaume wakarimu kama huyu kaka nimwite 'Y'.
Yani He was so romantic,charming and loving.Alinipa madeko,alinipa mapenzi ya hali ya juu.Muda wa libeneke nilikuwa naomba 'po'.
Alikuwa mshauri wangu,rafiki yangu.
Nitake nini nisipewe,tofauti kabisa na nilivyomchukulia.Alinihamisha Sinza akanipeleka Mbezi karibu na kwake na kodi juu yake.Zaidi aliwapenda ndugu zangu wote alopata bahati ya kuwafahamu.Alikuwa sio bahili juu yangu kabisa.
Sikuwa mwepesi kutaka kumpeleka kwetu wala mimi sikukubali anipeleke kwao kwani niliwahi mpaka kutolewa barua ya uchumba alafu uchumba ukaisha baada ya mwanamme nilokuwa naye kuzaa na rafiki yangu kipenzi.
Jamani nilipohamia karibu na 'Y' ndio nilijua kama maharage ni mboga au kiungo cha makande.
Alinipiga marufuku kupitia kokote nikitoka kazini.Hataki marafiki wala jamaa.
Nikae ndani nipike nile nilale.Kazi yake ilikuwa inamkeep bussy mpaka saa tatu usiku basi lazima aje,aniangalie mara nyingi alikula.
Nikasema ngoja nitii.Nikaachana na marafiki nikawa mtu adimu hata kwenye masherehe ya watu sitokei tena.
Akija atakagua simu,emails tena akiwa very calm.
Jamani akikuta namba ngeni nitawekwa kikaangoni!Nilimweleza mimi sio mtu wa namna hiyo wala siwezi kumsaliti.
Jamani akawa anafanya ambush sasa,mara aje kimya kimya kama jambazi,mara aje dirishani mpaka akawa ananistua.Alivyoona haitoshi akaniomba nihamie kwake.Sikukubali nikawa nalala kwake mara nyingi kwangu nafunga.Mpaka siku nikavunjiwa mlango wa mbele na kusombewa kila kitu.
Hapo ndio akapata kisingizio cha kunihamishia kwake.Nilivyohamia kwake akazidisha wivu.Akipiga simu mchana kama inatumika nikirudi jioni nazabuliwa kama mtoto.Kitu kidogo mpaka anipige vibao.Nilikaa naye chini mara nyingi na kumweleza kutoridhishwa kwangu na ile tabia.Lakini hakuacha,nisipojisikia sex ngumi.Nikipigiwa na mwanamme ngumi.Nikapoteza furaha na nuru kabisa.Nikaamua kumuacha.
Nikaendelea na maisha yangu.Nikamblock kila mahali.Akija sifungui aisee mlango utapigwa mateke mpaka nafungua akiingia anaomba msamaha.Nikaamua kuhama baada ya usumbufu kuzidi.Sio kwamba nilikuwa simpendi ila mateso yake yalizidi.Kipigo jamani.
Akawatumia ndugu na rafiki zangu.Nikakubali turudiane ila sikutaka kurudi kwake.Sasa akahack kila kitu changu.Akadai anataka kuwaona wazazi.Moyo ukasita.Jamani Y alizidisha wivu hadi message za kuforward anakasirika.Ananipiga na bado sex anataka.
Nilishindwa kwa kweli.Namiss treatments na sex lakini nikikumbuka yale mateke na mangumi nashindwa.
Sijui nifanyeje ananistalk kila mahali mpaka kazin muda wa kutoka unamkuta Getini.Sina raha bila yeye nampenda lakini naogopa kumrudia hawezi kuacha kunipiga kabisa.
Naomba ushauri wenu.
😂😂😂Wakurya ndivyo walivo, subiri kupigwa na panga
😂😂😂Mhhhh wapendanao wakipigina ww fungua mziki mpaka mwisho
Thread ya 8yrs ago, kwahiyo hata kama alikuwa binti wakati huo sahii anaitwa mama flaniHayo mambo madogo sana kwa kuwa yanarekebishika kirahisi
Fanyà makubaliano naye ya kurudiana,Tafuta mwanasheria wa kike akuandalie hati ya makubaliano aweke vipengele vya pande zote, wako na wake pia namaanisha unavyotaka wewe asikufanyie na na anavyotaka yeye asifanyiwe
Kama mnapendana kweli kila mtu atakubali na mtasaini
Atakayevunja Sheria ifuate mkondo wake.
Dada yangu mmoja aligongwa na mme wake kutoka mkoa wa Mara tukawapatanisha hivyo baada ya dume kukaa lockup 48hrs kibongo bongo kwa location uliyotaja hakunaga hayo mambo siku hizi
Ila hao jamaa ndio utamaduni wao
Ishu ilianzia kwa mama mkwe wake baada ya kuja Dar akakaa mwezi akamweka chini mwanae kwamba sio mwanamme kamili na atatengeneza dharau kubwa sana kutoka kwa mke wake kwamba alishangaa toka aje hajawahi kuona mkwe anagongwa tena akamshauri kwamba amgonge nyumdo za maana ili heshima iwepo,akasema wewe si ulikuwa unaona baba yako alivyokuwa ananipiga hadi nazimia?Sasa wewe ni mwanaume gani usiyepiga mke?
Sasa hv ni 10 years wako vizuri tu
Pili kichapo Cha wale jamaa hakinaga macho maisha yako ni ya muhimu sana na mapenzi sio vita vitu vinapatikana na watu hawajaisha,ukiondoka kizembe unaviacha vyote,vitu na watu