Nimwambie Ukweli?

Nimwambie Ukweli?

Dahh... Asee kam ni kweli nakupa pole bi mdada! Maisha ni yako ivo unaweza amua lolote khs io hali, by the way y ujitese waqt maisha ynyw aya mafupi dada angu, kuna chchte mungu kakunyima? Ebu acha ujinga, utakufa cku kabla hazjafka ww.... Ohoo! Pambana n iyo hali yako ujikwamue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WEWE MWANAMKE NAKUSHAURI USIACHANE NAYE MPAKA AKUTOE JICHO.

HIVI, HUJUI KUWA HAKUNA MKURYA ASIYEPIGA? WAKURYA KUMPIGA MKEWE NDYO MAHABA YAO HAYO.

WEWE UMEVAMIA MTU BILA KUJUA HSTORIA YA KABILA.

JIONGEZE.. SIWEZ KUKUSHAURI UMRUDIE AU KUACHANA KWA 7BU WAKATI MNAANZA MI SKUWEPO.. ILA NDIYO HVYO YANI, WAKURYA NA VIPGO NI KAMA KUNYWA MAJI.. MKUMBUKE binti miss wakati anaweka vgezo vya mume anayemtaka alisema asiwe mtu wa mara.
Aisee sasa watu wa Mara ndio hatutakiwi au?
 
ulkosea sana kumrudia..mwambie ukwel muachane la svyo utakula kchapo had bas

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Huyo mtu wako ana narcissistic personality disorder. Igoogle hiyo disorder halafu utajifunza mengi.
 
Nyagei oaneni wenyewe kwa wenyewe, kwa sababu mwanamke wa kikurya anapenda kupgwa kama ambavyo mwanaume wa kikurya anapenda kupiga
 
Nyagei oaneni wenyewe kwa wenyewe, kwa sababu mwanamke wa kikurya anapenda kupgwa kama ambavyo mwanaume wa kikurya anapenda kupiga
 
Pole sana kama bado unampenda itabidi ukomae na msemo wa wahenga "ukipenda waridi shutu uvumilie miiba"

Utarudi atakudunda tena utaondoka atakuomba msamaha utarudi mchezo huu mpaka lini sababu unampenda tu?

Mwishowe akuvunje mahali upate kilema bure!!

Madame S
Na inabidi ajiulize hilo nibomu au mpenzi kwamba likilipuka lazima alie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jifunze karate...
1931f28bf3fe131afce3a01e0e6983c4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Show za kibabe hazijawai kumuacha mtu salama Pambana na Hali yako aiseee

2logM@km
 
Habari zenu?
Mimi ni member mkongwe humu.Nimebadili ID baada ya Id yangu ya zamani kubadilishwa password na 'kutekwa' na mwanamme alokuwa Mpenzi wangu.

Sitopenda kuitaja kwa kuwa ameshabadilisha user name na sihitaji kujitafutia matatizo kwa Kuwa hata huu uzi atausoma.Najua dude ninaloliamsha sio la dunia hii lakini nimeamua kama mbwai na iwe mbwai!

Nije moja kwa moja kwenye mada.Nimekuwa na mpenzi wangu huyu kwa muda wa miaka miwili.Kwa kweli mapenzi yetu yalianza kama utani tu humu jukwaani.Nakumbuka ilikuwa mada nachangia.Akani' quote' aisee mwanamme mkorofi huyu,alinitukana matusi ambayo sikujua chanzo chake.Kisa nilitetea mwanamke kuomba hela kwa mpenzi wake.
Sikumjibu mkurya yule.

Ikawa tabia yake akikuta hata like tu lazima ani harass!Nikawa namu ignore.Kitabia mimi ni mpole sana siwezi kujibishana.Nakumbuka mara ya mwisho yalinishinda nikamvaa na mimi hapa,libeneke lilichezwa nikaambulia ban ya mwezi.
Ban yangu ilivyoisha akanifuata Pm kwa upole akaniomba msamaha.Nikajikuta tu namsamehe.Mawasiliano yalianza na kupamba kasi kwa mwendo wa farasi.
Tukawa karibu mno mpaka baada kama ya mwaka hivi ndio nikawa huru japo kutoa namba yangu maana kwa kipindi hiko nilikuwa nimetoka kuachana na mtu sikutaka ukaribu wa haraka.
Baada ya kuonana na mawasiliano ya karibu sana tukajikuta tunapendana.Kwa kweli sikuwahi kujua kama kuna wanaume wakarimu kama huyu kaka nimwite 'Y'.

Yani He was so romantic,charming and loving.Alinipa madeko,alinipa mapenzi ya hali ya juu.Muda wa libeneke nilikuwa naomba 'po'.
Alikuwa mshauri wangu,rafiki yangu.
Nitake nini nisipewe,tofauti kabisa na nilivyomchukulia.Alinihamisha Sinza akanipeleka Mbezi karibu na kwake na kodi juu yake.Zaidi aliwapenda ndugu zangu wote alopata bahati ya kuwafahamu.Alikuwa sio bahili juu yangu kabisa.

Sikuwa mwepesi kutaka kumpeleka kwetu wala mimi sikukubali anipeleke kwao kwani niliwahi mpaka kutolewa barua ya uchumba alafu uchumba ukaisha baada ya mwanamme nilokuwa naye kuzaa na rafiki yangu kipenzi.

Jamani nilipohamia karibu na 'Y' ndio nilijua kama maharage ni mboga au kiungo cha makande.
Alinipiga marufuku kupitia kokote nikitoka kazini.Hataki marafiki wala jamaa.
Nikae ndani nipike nile nilale.Kazi yake ilikuwa inamkeep bussy mpaka saa tatu usiku basi lazima aje,aniangalie mara nyingi alikula.
Nikasema ngoja nitii.Nikaachana na marafiki nikawa mtu adimu hata kwenye masherehe ya watu sitokei tena.
Akija atakagua simu,emails tena akiwa very calm.
Jamani akikuta namba ngeni nitawekwa kikaangoni!Nilimweleza mimi sio mtu wa namna hiyo wala siwezi kumsaliti.
Jamani akawa anafanya ambush sasa,mara aje kimya kimya kama jambazi,mara aje dirishani mpaka akawa ananistua.Alivyoona haitoshi akaniomba nihamie kwake.Sikukubali nikawa nalala kwake mara nyingi kwangu nafunga.Mpaka siku nikavunjiwa mlango wa mbele na kusombewa kila kitu.

Hapo ndio akapata kisingizio cha kunihamishia kwake.Nilivyohamia kwake akazidisha wivu.Akipiga simu mchana kama inatumika nikirudi jioni nazabuliwa kama mtoto.Kitu kidogo mpaka anipige vibao.Nilikaa naye chini mara nyingi na kumweleza kutoridhishwa kwangu na ile tabia.Lakini hakuacha,nisipojisikia sex ngumi.Nikipigiwa na mwanamme ngumi.Nikapoteza furaha na nuru kabisa.Nikaamua kumuacha.
Nikaendelea na maisha yangu.Nikamblock kila mahali.Akija sifungui aisee mlango utapigwa mateke mpaka nafungua akiingia anaomba msamaha.Nikaamua kuhama baada ya usumbufu kuzidi.Sio kwamba nilikuwa simpendi ila mateso yake yalizidi.Kipigo jamani.

Akawatumia ndugu na rafiki zangu.Nikakubali turudiane ila sikutaka kurudi kwake.Sasa akahack kila kitu changu.Akadai anataka kuwaona wazazi.Moyo ukasita.Jamani Y alizidisha wivu hadi message za kuforward anakasirika.Ananipiga na bado sex anataka.
Nilishindwa kwa kweli.Namiss treatments na sex lakini nikikumbuka yale mateke na mangumi nashindwa.
Sijui nifanyeje ananistalk kila mahali mpaka kazin muda wa kutoka unamkuta Getini.Sina raha bila yeye nampenda lakini naogopa kumrudia hawezi kuacha kunipiga kabisa.
Naomba ushauri wenu.
ngumi ukuryani ni tambiko but anyway pole sana kwa mikasa hiyo, unampenda sana ni nia ya kuonyesha wewe ni honest ila kumbuka hujawahi mlilia Mungu kuhusu mikasa hiyo, unajua swala la ndoa au mahusiano lilianzishwa na Mungu ni vyema ungemlilia angekusikia maana pasipokuwepo Mungu ibilisi yupo kuharibu Upendo ni asili ya Mungu ili asikupige tena hebu jaribu kuspend muda hata ufunge u umuombee kwa Mungu njia zitafunguka amani yako itarejea maraGod bless you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom