NYAMUHANZI
Senior Member
- Apr 7, 2017
- 187
- 390
Pole na matatizo yaliyokukuta. Binafsi naona kuwa mtu huyo unamfahamu vizuri tabia yake maana alishaionyesha toka mara ya kwanza mlipokutana lakini ulimpenda na mkaenda mbele zaidi mpaka ukahamia kwake, amekuwa akikukosea kwa kukupiga na kukunyanyasa mara kwa mara kutokana na wivu wa kimapenzi.
Hivyo unatakiwa ujuwe kuwa hiyo ndiyo tabia yake halisi na tabia ni kama ngozi ya mwili huwezi kuibadili (hata kwa mkorogo). Sasa pamoja na yote hayo bado unakili kuwa UNAMPENDA na hujui la kufanya mpaka unatuomba ushauri. mimi nakushauri USIKILIZE MOYO WAKO MAANA UNACHOMPENDEA UNAKIJUA MWENYEWE ila ningekuwa mimi ningeachana naye bila kugeuka nyuma.
HUU NI USHAURI TU. MAAMUZI UNAYO MWENYEWE
Hivyo unatakiwa ujuwe kuwa hiyo ndiyo tabia yake halisi na tabia ni kama ngozi ya mwili huwezi kuibadili (hata kwa mkorogo). Sasa pamoja na yote hayo bado unakili kuwa UNAMPENDA na hujui la kufanya mpaka unatuomba ushauri. mimi nakushauri USIKILIZE MOYO WAKO MAANA UNACHOMPENDEA UNAKIJUA MWENYEWE ila ningekuwa mimi ningeachana naye bila kugeuka nyuma.
HUU NI USHAURI TU. MAAMUZI UNAYO MWENYEWE
