big result now
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
Nimekaa sehemu hapa, zinapigwa nyimbo za Timbulo, let's be fair for a while, Timbulo has percuriar way of singing, hafanani na msanii yeyote yule, kuna watu wanamdharau na kumchukulia poa.
Kuna nyimbo za kwanza kweli alikopi lakini ule wimbo aliouimba na Rich Mavoko pamoja na huu naku-miss miss ni mizuri sana, they were supposed to be hit songs, ila kwa bahati mbaya kwa kuwa ni Timbulo hatuwezi kuliona hilo.
Si shabiki wa Timbulo ila hizi nyimbo ni zuri mno kwa mtazamo wangu, na ana staili ya kipekee kabisa.
Kuna nyimbo za kwanza kweli alikopi lakini ule wimbo aliouimba na Rich Mavoko pamoja na huu naku-miss miss ni mizuri sana, they were supposed to be hit songs, ila kwa bahati mbaya kwa kuwa ni Timbulo hatuwezi kuliona hilo.
Si shabiki wa Timbulo ila hizi nyimbo ni zuri mno kwa mtazamo wangu, na ana staili ya kipekee kabisa.