Nimueleweje na nifanyaje?

Nimueleweje na nifanyaje?

Uhusiano haujafika mwaka Bado. Ndio tumeshawahi kuonana . Ila mambo Fulani Bado hatujawahi hata siku moja . Siko tayari kwa hili na tulikubaliana mpaka harusi. Asante.

Utampata wapi mwanaume wa hivyo karne hii.? Karne hii ukiamua kuingia katika mahusiano na pichu uamue kuvua..!
 
Uhusiano haujafika mwaka Bado. Ndio tumeshawahi kuonana . Ila mambo Fulani Bado hatujawahi hata siku moja . Siko tayari kwa hili na tulikubaliana mpaka harusi. Asante.

Utampata wapi mwanaume wa hivyo karne hii.? Karne hii ukiamua kuingia katika mahusiano na pichu uwe tayari kuvua..!
 
Ajabu sasa partners wengi hawawezi kuambiana ukweli. Na ikitokea ukamwambia mtu kuwa uhusiano wenu hauna future, utatukanwa matusi yote duniani...! Lakini kuambiwa ukweli kunakuacha huru..!

Hakuna kitu ninachokipenda ingawaje kinauma kama ukweli na hilo analielewa hilo jamaa yangu . Ni bora uniambie ukweli mwanzo utaniuma lakini utaniset free . Asante sana .
 
Hello wana FJ.

Mimi ni mwanamke Wa miaka 25-30 . Kama miezi kadhaa nimejuana na huyu Kaka ni mkarimu kwa Kweli na ni mcha Mungu, hii ndio sababu kubwa ambayo imenivuta kwake. Kitu ninachokipenda kingine yaani ananifanya na kuwa free kutania na kuchekeshana kwa sana ma hii Mimi huwa Napenda sana.

Okay sababu iliyonileta hapa ni hivi tuna week ya pili sasa inakwenda hela mawasiliano. Ninakuwa Nina wasiwasi kuhusu hali yake kwa maana si kawaida yake .

Nimepiga simu lines zake zote moja inaita ni ya kikazi Inakata tuu haipokelewi na nyingine ni private haupatikaniki. Ikabidi nimtafute Rafiki yake ambaye akishawahi kunitambulisha mwake na wanafanya kazi pamoja . Nimemuuliza akaniahidi kunifuatilia.

Alichoelezwa kawa Huyu MTU amekwenda likizo. Kumbuka hajawahi kuniambia kuhusu hilo na si kawaida yake. Mimi Bado sikuachia hapo nikaendelea kupiga simu ile ya kikazi kuna MTU alipokea mwanamme akaniambia kuwa huyu MTU hayupo.

Elewa Mimi Niko nnje ya Tz kidogo. Nimeandika SMS nyingi hazijibiwi. FB messages pia hazijibiwi . Nimemuomba msamaha nilipomkosea kwenye FB messages na kwenye SMS lakini wapi Bado kimya . Anajibu messages za wengine FB lakini sio zangu.

Leo nimeingia FB kutizama kama messages yeyote lakini Bado hamna lakini niliona aliingia . Baadae tena nikaingia FB tena kwenye kukaa , nikamuona online nikaita jina lake kwenye messenger Wala hajajibu chochote na hakukaa sana akatoka online.

Hebu niambieni wanaume na wanawake wenzangu nifanyeje? Na Je nimemkosea nini Huyu jamaa yangu? Nia yake ni nini ? Je Kweli anania nzuri na Mimi? Saa nyingine natamani nichukue tuu ndege nije lakini siwezi .

Je niwe na subira nae au niendelee na maisha yangu? Kusema Kweli Nina connection nae moyoni . katika mahusiano yetu, pamoja si ya muda mrefu tumeongea mengi sana kuhusu maisha na familia pamoja na maendeleo . Hata sijui nifanyeje.

Na kama amepata mwingine aniambie tuu ili nijue kuliko kuumia moyoni .

Mchepuko Mimi siwezi .

Nawasikiliza ndugu tafadhali.

Asante

pole mdada, m mwenyew yalishanikuta, tulikaa mwezi mmoja akakata mawasiliano hapokei sim wala hajibu txt ila uki2mia no nyngine anapokea, bahat nzur nilkua napajua kwake, nkamfata nikamuliza akanambia yuko busy ndo mana, nikaachana nae ila mpaka leo cjui sababu ya ukimya wake......


nakushauri achana nae asikupe stress.... shukur mungu umemjua alvyo mapema
 
pole mdada, m mwenyew yalishanikuta, tulikaa mwezi mmoja akakata mawasiliano hapokei sim wala hajibu txt ila uki2mia no nyngine anapokea, bahat nzur nilkua napajua kwake, nkamfata nikamuliza akanambia yuko busy ndo mana, nikaachana nae ila mpaka leo cjui sababu ya ukimya wake......


nakushauri achana nae asikupe stress.... shukur mungu umemjua alvyo mapema

Asante mdada wangu.
 
Kama unajua pamkupata huko tz,rudi tu dadaangu kamwangalie na ujue nini kimetokea. Vinginevyo hata ukisema umpotezee utakuwa unajiumiza tu maana mapenzi maumivu yake ni yakipekee sana bcz yanaumiza hisia tu.
 
mapenzi kwa simu, email, fb, twitter, instagram, whatsapp........mapenzi is physical.....kazidiwa analiwazwa mahali. Akishadiffuse utampata tu. relax!!!
 
mapenzi kwa simu, email, fb, twitter, instagram, whatsapp........mapenzi is physical.....kazidiwa analiwazwa mahali. Akishadiffuse utampata tu. relax!!!

Aaaaaaaaaaaahhaaaa kazi Kweli Kweli. Asimalize vyote Basi mpaka akanishindwa kwenye honeymoon yetu, Aaaaa Aaaaaaaa Aaaaaaaahaaa loh umeniuwa kwa kucheka, Asante sana kwa ushauri.
 
Kama unajua pamkupata huko tz,rudi tu dadaangu kamwangalie na ujue nini kimetokea. Vinginevyo hata ukisema umpotezee utakuwa unajiumiza tu maana mapenzi maumivu yake ni yakipekee sana bcz yanaumiza hisia tu.

Ni Kweli. Natizama alternative ways my dear . All I want him to be happy and myself too. Hata kama akisema ameona awe na MTU mwingine pia ni sawa kwangu as long as yuko happy. Na Mimi ninaamini wangu atakuja tuu , siku moja . Asante sana.
 
Hello wana FJ.

Mimi ni mwanamke Wa miaka 25-30 . Kama miezi kadhaa nimejuana na huyu Kaka ni mkarimu kwa Kweli na ni mcha Mungu, hii ndio sababu kubwa ambayo imenivuta kwake. Kitu ninachokipenda kingine yaani ananifanya na kuwa free kutania na kuchekeshana kwa sana ma hii Mimi huwa Napenda sana.

Okay sababu iliyonileta hapa ni hivi tuna week ya pili sasa inakwenda hela mawasiliano. Ninakuwa Nina wasiwasi kuhusu hali yake kwa maana si kawaida yake .

Nimepiga simu lines zake zote moja inaita ni ya kikazi Inakata tuu haipokelewi na nyingine ni private haupatikaniki. Ikabidi nimtafute Rafiki yake ambaye akishawahi kunitambulisha mwake na wanafanya kazi pamoja . Nimemuuliza akaniahidi kunifuatilia.

Alichoelezwa kawa Huyu MTU amekwenda likizo. Kumbuka hajawahi kuniambia kuhusu hilo na si kawaida yake. Mimi Bado sikuachia hapo nikaendelea kupiga simu ile ya kikazi kuna MTU alipokea mwanamme akaniambia kuwa huyu MTU hayupo.

Elewa Mimi Niko nnje ya Tz kidogo. Nimeandika SMS nyingi hazijibiwi. FB messages pia hazijibiwi . Nimemuomba msamaha nilipomkosea kwenye FB messages na kwenye SMS lakini wapi Bado kimya . Anajibu messages za wengine FB lakini sio zangu.

Leo nimeingia FB kutizama kama messages yeyote lakini Bado hamna lakini niliona aliingia . Baadae tena nikaingia FB tena kwenye kukaa , nikamuona online nikaita jina lake kwenye messenger Wala hajajibu chochote na hakukaa sana akatoka online.

Hebu niambieni wanaume na wanawake wenzangu nifanyeje? Na Je nimemkosea nini Huyu jamaa yangu? Nia yake ni nini ? Je Kweli anania nzuri na Mimi? Saa nyingine natamani nichukue tuu ndege nije lakini siwezi .

Je niwe na subira nae au niendelee na maisha yangu? Kusema Kweli Nina connection nae moyoni . katika mahusiano yetu, pamoja si ya muda mrefu tumeongea mengi sana kuhusu maisha na familia pamoja na maendeleo . Hata sijui nifanyeje.

Na kama amepata mwingine aniambie tuu ili nijue kuliko kuumia moyoni .

Mchepuko Mimi siwezi .

Nawasikiliza ndugu tafadhali.

Asante

Isije ikawa wewe ni selfish kwenye mahusiano yenu?

Umepewa likes 22 lakini hujatoa hata moja kwa members!

Kuwa makini!
 
Isije ikawa wewe ni selfish kwenye mahusiano yenu?

Umepewa likes 22 lakini hujatoa hata moja kwa members!

Kuwa makini!

Sokoni sehemu hiyo hebu nielekeze . Mimi ni mgeni hata hizo likes zangu pia sizioni . msaada please. Asante!
 
Kama kweli uliyoandika ni sawa,basi jua kabisa kuna kitu kimefichika ndani ya moyo wa dear wako na hajapenda kukwambia ukweli,which is dangerous kwa hilo penzi lenu changa.Pengine kuna kitu amekigundua kwako asichokipenda,ama amempata mwingi na kuamua kukusaliti ama.......!Yote katika yote,inaonyesha hana nia nzuri na wewe,lakini kumbuka always kunyamanza is the best answer,usiwe wa kwanza kutoa tamko,we tulia tu,utauona mwisho wake kwani njia ya mwongo ni fupi.
Mwisho nakupongeza kwa msimamo wako mzuri,continue.
 
Aaaaaaaaaaaahhaaaa kazi Kweli Kweli. Asimalize vyote Basi mpaka akanishindwa kwenye honeymoon yetu, Aaaaa Aaaaaaaa Aaaaaaaahaaa loh umeniuwa kwa kucheka, Asante sana kwa ushauri.

mtumie message za mapenzi na umpe pole kwa kazi ngumu anayoifanya hata amekusahau kwa muda....utaona anarespond tu.....wanaume ndivyo tulivyo...LoL!!
 
Kama kweli uliyoandika ni sawa,basi jua kabisa kuna kitu kimefichika ndani ya moyo wa dear wako na hajapenda kukwambia ukweli,which is dangerous kwa hilo penzi lenu changa.Pengine kuna kitu amekigundua kwako asichokipenda,ama amempata mwingi na kuamua kukusaliti ama.......!Yote katika yote,inaonyesha hana nia nzuri na wewe,lakini kumbuka always kunyamanza is the best answer,usiwe wa kwanza kutoa tamko,we tulia tu,utauona mwisho wake kwani njia ya mwongo ni fupi.
Mwisho nakupongeza kwa msimamo wako mzuri,continue.

Asante sana!
 
Sokoni sehemu hiyo hebu nielekeze . Mimi ni mgeni hata hizo likes zangu pia sizioni . msaada please. Asante!

Ni hakika huwezi kuanzisha thread bila ku-sign in,sasa ukiangalia kwenye kila comment ama uzi ulioanzishwa chini upande wa kulia kuna sehemu ya like,ukibofya hicho kitufe maana yake ume like hiyo comment/thread.Kumbuka mambo mengine ni madogo madogo lakini yana impact ktk jamii,usiyapuuze.
Wewe mwenyewe ukiangalia umepewa like 22 hadi sasa,lakini wewe umetoa 0 like???Inawezeka mchango wa By Prince Hope unaukweli fulani,jitahidi.
 
mtumie message za mapenzi na umpe pole kwa kazi ngumu anayoifanya hata amekusahau kwa muda....utaona anarespond tu.....wanaume ndivyo tulivyo...LoL!!

Aaaaaaaa Aaaaaaaahaaa , my dear I did all that kabla sijaja hapa, still hujibu. I even told him I love him and so many things, Lol . Kwa sasa nakaa kimya nisubiri. Na Mara ya mwisho tulivyoongea wote tulikuwa happy, nakumbuka tulichekeshana sana that day . So I don't know. Asante !
 
Ni hakika huwezi kuanzisha thread bila ku-sign in,sasa ukiangalia kwenye kila comment ama uzi ulioanzishwa chini upande wa kulia kuna sehemu ya like,ukibofya hicho kitufe maana yake ume like hiyo comment/thread.Kumbuka mambo mengine ni madogo madogo lakini yana impact ktk jamii,usiyapuuze.
Wewe mwenyewe ukiangalia umepewa like 22 hadi sasa,lakini wewe umetoa 0 like???Inawezeka mchango wa By Prince Hope unaukweli fulani,jitahidi.

Nimejaribu kutafuta hiko kitufe Hata sikioni . Sijui ni macho yangu au. Asante.
 
Back
Top Bottom