ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,493
- 119,280
Uhusiano haujafika mwaka Bado. Ndio tumeshawahi kuonana . Ila mambo Fulani Bado hatujawahi hata siku moja . Siko tayari kwa hili na tulikubaliana mpaka harusi. Asante.
Utampata wapi mwanaume wa hivyo karne hii.? Karne hii ukiamua kuingia katika mahusiano na pichu uamue kuvua..!