Nimuache au nimsubiri

Nimuache au nimsubiri

MKUU ANAITWA NAN HUYO?
NADHAN NDIE HUYU NILIEMEGA
MKUU , NATANGULIZA POLE
 
USHAURI WA KIANAUME.

VUMILIA HIYO WIKI IISHE, HALAFU BAADA YA HAPO ATAKAPOTUTAFUTA MWAMBIE MUONGEZE WIKI 3 NYINGINE, NAPO ZIKIISHA MWAMBIE HAUKO VIZURI MUONGEZE MWEZI TENA, YANI NDIO UNAMWACHA KAMA IFUATAVYO
 
Natamani kutoa ushauri ila sijui kwanini natamani kuuliza umri wako na kazi uifanyayo mkuu. Nahisi kuna uhusiano.

Hata hivyo, nikushauri ushauri general, acha zinaa!!!!
 

Teknolojia inakuwa na mapenzi yanakuwa enzi zetu mambo kama haya hayakuwepo...
Ban hadi kwenye mapenzi sijui vijana mnaelekea wapi
 
Natamani kutoa ushauri ila sijui kwanini natamani kuuliza umri wako na kazi uifanyayo mkuu. Nahisi kuna uhusiano.

Hata hivyo, nikushauri ushauri general, acha zinaa!!!!
mkuu miaka 30 na binti 25....kazi nzuri na kipato kizuri tu kwa kufanyia fujo kitaa...haya mwaga ushauri wako sasa....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom