Nimuache au nimsubiri

Nimuache au nimsubiri

Mmmmh,
Kwanza unahitaji kujitambua kabla ya kuomba ushauri kuhusu huyo Binti . maana wewe ndiyo chanzo cha hayo yote.
Laiti kama ungetulia basi ungekuwana sababu nzuri za kumlaumu.

Ila hadi hapo, wewe tulia tu unyolewe; ukinyolewa kipara poa, ukipigwa panki safi na hata ukikatwa Kichwa itapendeza zaidi kwa 900.
Hahhahaha
 
dah..mkuu ndo maana kuna forums kama hizi tunasaidiana mawazo...pamoja sana!
Ni hakika...ngoja nikwambie kitu Mbuchii, mtoto wa kike anaweza akakuhamisha kwenye reli, ukajikuta umekuwa mwendawazim au unabobea kwenye ulevi wa ajabu kiasi cha watu kukushangaa! Mapenzi yapo tu....kwann uruhusu kuumia juu ya mtu ambae hakupi uhai rafiki angu? Watu wanafumaniana na wanaendelea kupendana vzr tu leo hii just sms only? You knw abt opportunity cots? Kama wakijua basi fanya mambo mengne atakutafuta yy na ujinga wake.
Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi. Be a gentleman bro.
 
Badili namba ya simu! Hama makazi. Akiku unblock anakutana na sauti za automated machine za service provider i.e 'namba uliyopiga haipo'

Jinsi ya kuhama:
Kama unahamia mbezi nenda kakodi gari ya kubebea mizigo kigamboni, chukua huko na masela wawili wa kukusaidia kupakia vyombo.
Hama saa nane usiku.

Unakung'uta vumbi la mikono kama jerry anapomaliza nyodo za Tom.
 
Badili namba ya simu! Hama makazi. Akiku unblock anakutana na sauti za automated machine za service provider i.e 'namba uliyopiga haipo'

Jinsi ya kuhama:
Kama unahamia mbezi nenda kakodi gari ya kubebea mizigo kigamboni, chukua huko na masela wawili wa kukusaidia kupakia vyombo.
Hama saa nane usiku.

Unakung'uta vumbi la mikono kama jerry anapomaliza nyodo za Tom.
hahahahaha...we ni noma mkuu...
 
Ila mkuu jitahid uwe unaandika kiswahili maan hicho kimombo ulichotupia kimejaa mchanga haswaa...nakushauri uendelee na mambo yako huyo bibie hisia zimeshakata kwako... Hiyo ni saw na glass ikidondoka ikavunjika n vigumu kuirejesha kweny uhalisia wake...temana nae kabla hujajitafutia pneumonia kwenye moyo
 
anaonekana hajakusamehe, anataman kksamehe ila naona moyo wke bdo, ndo mana anakosa appetite na ww
 
hhahaah mkuu nimecheka kama mazuri ila ndo ushaachwa kwenye mataa apo
 
Mwache aende zake, wanawake wapo wengi.

Huyo atakutesa sana na kukupatia stresses za kutosha.

Utanikimbuka.
 
Msubiri tu, sasa wiki mbili au mwezi vinakushindaje kusubiri mwanaume mzima?Na kwanza hii misamaha ya vizawadi vyenu uchwara nyie wanaume mzoea ku take for granted some inakuwaga ina kwikwi! It's possible she just needs time to process and deal na usaliti wako. Kama her intention ni kukuacha what difference does it make if that happens now or a month later?Hovyooooooooooooooo
 
Msubiri tu, sasa wiki mbili au mwezi vinakushindaje kusubiri mwanaume mzima?Na kwanza hii misamaha ya vizawadi vyenu uchwara nyie wanaume mzoea ku take for granted some inakuwaga ina kwikwi! It's possible she just needs time to process and deal na usaliti wako. Kama her intention ni kukuacha what difference does it make if that happens now or a month later?Hovyooooooooooooooo
Your argument is biased, why you should stay neutral? I think your advice would be more potential for him!
You concludes like the guy is injustice (boy) while his partner is justice at all. while the issue was yet discussed in both sides and agreements are reached.
 
kiufupi ni kwamba ana ratiba na jamaa mwingine so hataki umsumbue mara simu, mara sms, anataka ajiachie to the muximum
 
Hi!
Nimekuwa na mahusiano na huyu binti kwa mwaka na miezi nane sasa..To be honest nampenda sana...miezi mitatu iliyopita tulitokea kutokuelewana kati yangu na yeye baada ya yey kukuta sms nilizokuwa nachart na binti mwingine...tulikaa chini tukasolve,nikaomba msamaha ni kama everything become normal,nasema ni kama kwasababu hakuwa ka before baada ya kunisamehe...nikachukulia poa labda bado ana hasira na kilichotokea but maisha yakawa yanaendelea..tunaenda date,tuanaingea kawaida but kila nikitaka kudo nae anakuwa na sababu ya kuwa hayuko tayari ni keep wait coz kilichotokea eti kimemfanya hasiwe comfortable na mie but ananipenda sana so nisubiri tu soon atakuwa normal na.kurudi kama zamani...mwanaume nikasema poa ntasubiri coz nampenda..basi tukawa normal tu..anataka hichi nampa ,tunaenda date, tunacheka, tunafanya romance kidogo hata kama sio kihivyoo ilimladi tu niwait...juzi kati nikamwambia ya kuwa nammiss sana na kila nikiwa nae natamani tudo coz ni miezi miwili sasa hatujado but sio kwamba nataka leo ila nataka ajue tu hilo!
Akaniambia nisiofu yeye ni wangu soon mwezi huu takuwa okey so nitaenjoy....juzi kati kuna issue alikuwa anahitaji akaniomba na mimi bila hiana nikampa chambi ya kununulia hiyo issue..akasema asante ..
Jioni yake ananiambia anataka kuongea na mie kitu muhimu sana nikamwambia poa niamboee..akaniambia anajisikia vibaya sana kwamba kila kitu nachotaka nampa but yey anipi ninachotaka..nikamwambia unaana gani coz me i do so coz nakupenda sio ya sex..akaniambia hata kama bado anajisikia vibaya tu coz nanipenda but ikija swala la sex ajisikii sijui.kwnini...so ameomba ushauri kwa baadhi ya marafiki zake na ameona labda kanizoea sana na kaniona wa kawaida so naomba tuchukue break kama week mbili au mwezi bila.mawasiliaona yeyote baada ya hapo tumeet then to do afu tuone itakavyokuwa...nilishtuka sana nikamwambia unauhakika na huo ushauri wa.rafiki zako na je sio kwamba unataka kubreak up.na.mie?
akasema no siwezi coz nakupenda sana...
Mie nikamwambia kama unataka kubreak up na mie be open coz nakupenda lakini siwezi kukung'ang'ania...akasema sio hivyo basi tufnye week najua itakuwa ngumu but itanisaidiaaa....
Wakuu leo ni siku ya tatu kimya..no mawasiliaono na yeye...na tulikuwbaliana aniblock kila mahali ili nisimaccess kabisa kama anataka huo mpango wake uweze kufanya kazi na akafanya huvyoo.Moyo unaniambia niachane naye coz siamini katika hili jambo nahisi kama anatafuta corage ya kuniacha au kapata mwingine!
Ushauri wenu please na poleni na andiko lefuuu nimeshindwa kufupishaa...
N.B-ID mpya but mie mkongwe humuuu
Let her go.... Utakuja umia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom