Hi!
Nimekuwa na mahusiano na huyu binti kwa mwaka na miezi nane sasa..To be honest nampenda sana...miezi mitatu iliyopita tulitokea kutokuelewana kati yangu na yeye baada ya yey kukuta sms nilizokuwa nachart na binti mwingine...tulikaa chini tukasolve,nikaomba msamaha ni kama everything become normal,nasema ni kama kwasababu hakuwa ka before baada ya kunisamehe...nikachukulia poa labda bado ana hasira na kilichotokea but maisha yakawa yanaendelea..tunaenda date,tuanaingea kawaida but kila nikitaka kudo nae anakuwa na sababu ya kuwa hayuko tayari ni keep wait coz kilichotokea eti kimemfanya hasiwe comfortable na mie but ananipenda sana so nisubiri tu soon atakuwa normal na.kurudi kama zamani...mwanaume nikasema poa ntasubiri coz nampenda..basi tukawa normal tu..anataka hichi nampa ,tunaenda date, tunacheka, tunafanya romance kidogo hata kama sio kihivyoo ilimladi tu niwait...juzi kati nikamwambia ya kuwa nammiss sana na kila nikiwa nae natamani tudo coz ni miezi miwili sasa hatujado but sio kwamba nataka leo ila nataka ajue tu hilo!
Akaniambia nisiofu yeye ni wangu soon mwezi huu takuwa okey so nitaenjoy....juzi kati kuna issue alikuwa anahitaji akaniomba na mimi bila hiana nikampa chambi ya kununulia hiyo issue..akasema asante ..
Jioni yake ananiambia anataka kuongea na mie kitu muhimu sana nikamwambia poa niamboee..akaniambia anajisikia vibaya sana kwamba kila kitu nachotaka nampa but yey anipi ninachotaka..nikamwambia unaana gani coz me i do so coz nakupenda sio ya sex..akaniambia hata kama bado anajisikia vibaya tu coz nanipenda but ikija swala la sex ajisikii sijui.kwnini...so ameomba ushauri kwa baadhi ya marafiki zake na ameona labda kanizoea sana na kaniona wa kawaida so naomba tuchukue break kama week mbili au mwezi bila.mawasiliaona yeyote baada ya hapo tumeet then to do afu tuone itakavyokuwa...nilishtuka sana nikamwambia unauhakika na huo ushauri wa.rafiki zako na je sio kwamba unataka kubreak up.na.mie?
akasema no siwezi coz nakupenda sana...
Mie nikamwambia kama unataka kubreak up na mie be open coz nakupenda lakini siwezi kukung'ang'ania...akasema sio hivyo basi tufnye week najua itakuwa ngumu but itanisaidiaaa....
Wakuu leo ni siku ya tatu kimya..no mawasiliaono na yeye...na tulikuwbaliana aniblock kila mahali ili nisimaccess kabisa kama anataka huo mpango wake uweze kufanya kazi na akafanya huvyoo.Moyo unaniambia niachane naye coz siamini katika hili jambo nahisi kama anatafuta corage ya kuniacha au kapata mwingine!
Ushauri wenu please na poleni na andiko lefuuu nimeshindwa kufupishaa...
N.B-ID mpya but mie mkongwe humuuu