Nimsubiri au niendelee na maisha yangu?

Nimsubiri au niendelee na maisha yangu?

Koba2

Member
Joined
Jan 3, 2017
Posts
16
Reaction score
13
Natumaini mko poa wadau my story is nimekua kwenye uhusiano nae zaidi ya mwaka sasa , kipindi chote hicho tumekua tukifurahia mahusiano yetu full of promises kiukweli sikuwahi kufurahia mahusiano kama nilivyo furahia kwa huyu, kulitokea misunderstanding ambayo mimi ndio sababu though I never meant to hurt her.

Ikapelekea anikasilikie mpaka kakata mawasiliano nimejalibu kumwomba msamaha but hajibu kitu nimefanya hivyo karibu two months coz I love her and I know me ndo mkosaji after time kaja kunijibu kua I should be patient nimpe mda from there we keep chatting though when I say I miss you hajibu kitu ana change topic , nikimwomba tuonane somewhere to talk she say nothing but she keep saying kua mvumilivu nipe muda 3month now !! So guys what should I do?! Mi sio mwandishi mzuri naombeni ushauri sio povuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mpe muda ila jitahidi kutafuta atakaye chukua nafasi yake
 
Andika maumivu.

Upendo wake kwako umekufa, no one can stay indifferent at their loved one for three months, tena huku jamaa unaomba msamaha. Kwani ulimkosea nini?

Hapo kwakweli just move on with your life, you tried your best to make it work again, lakini mwenzako harudishi effort zako. Utajitesa!
 
Angalia ustaarabu wako.

Kaa ukijua hutakiwi hapo.

Usiwe king'ang'anizi.

Mwache aende
 
Kuna watanzania wenzetu mnapitia challenging moment sana
 
Kwahio braza nawewe umekaa unasubiri penzi la huyo mlimbwende aliekwisha move on!? Yupo na jamaa mwengine tayari we zama zako zilishaisha hamna jipya hapo!

Grow balls and get a new girl man!!!
 
Eyoo Kimbia, Kimbia Fasta. Ukianguka ukiumia, toka nduki vumilia wee Kimbiaaaaaa..........
Ukiendelea atakufanya Backup.

via Huawei Social Phone
 
Angalia na uzito wa kosa ulilolifanya kuna makosa mengne hata akisema kakusamehe atakuwa kakudanganya maana atakuwa anakumbushia af utaishi kama mtumwa we ongea nae vizuri angalia muelekeo wake kama haeleweki take your time
 
Mmh haya ni mapenzi au uko shule au JKT maana mambo ya suspension za miezi mitatu sio kawaida..

Fanya umvumilie ukiwa unamchunguza kama kapata mwingine..
Usisahau mrejesho baada ya week

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumaini mko poa wadau my story is nimekua kwenye uhusiano nae zaidi ya mwaka sasa , kipindi chote hicho tumekua tukifurahia mahusiano yetu full of promises kiukweli sikuwahi kufurahia mahusiano kama nilivyo furahia kwa huyu, kulitokea misunderstanding ambayo mimi ndio sababu though I never meant to hurt her.

Ikapelekea anikasilikie mpaka kakata mawasiliano nimejalibu kumwomba msamaha but hajibu kitu nimefanya hivyo karibu two months coz I love her and I know me ndo mkosaji after time kaja kunijibu kua I should be patient nimpe mda from there we keep chatting though when I say I miss you hajibu kitu ana change topic , nikimwomba tuonane somewhere to talk she say nothing but she keep saying kua mvumilivu nipe muda 3month now !! So guys what should I do?! Mi sio mwandishi mzuri naombeni ushauri sio povuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Cut her off brother. I know unampenda but do be a doormat. Right now huyo manz ana enjoy sana unavyo mfuata na misamaha mingi, anajiona yeye ndio yeye.

Nyamaza kaa kimya usimtext, usimpigie, endelea na maisha yako ww kama ww. Kama atakuja sawa asipo kuja powa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom