Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Huku mtaani ninapokaa kuna dada mmoja jirani yangu ameniomba ushauri kuwa jamaa yake hajawahi kumfikisha kileleni toka waanze uhusiano wao miaka 3 iliyopita,nimemuuliza kama jamaa huwa anamuandaa kabla ya game amesema ndio.Ndugu wana jf wenzangu naomba mtoe ushauri kwa huyu dada.