Huyo anakupenda na anajutia alichokifanya.Usirudishe hiyo hela ,itumie.Usiogope kuwasiliana naye,ni binadamu kama wewe,ya kesho na keshokutwa huwezi kujua,besides hata condition ya ndoa yake kwa sasa na ilikuwaje akapata mimba na kuolewa na mtu mwingine huwezi kujua.
Chukua mshiko acha kujibaraguza wewe. siku hizi bwana haya mapenzi haya[po na akija tena anataka kukupa chakula wee kaa chini kula chakula.......