MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Mi nafikiri ofisi yako bibie iko vizuri, ndo maana jamaa anataka ashinde humo ndani. Nafikiri siku chache kabla ya siku zako inabidi round ziongezwe hadi 5 ili ukamue kila kitu abakiwe na povu tu. Kwa mtindo huo ataweza kuvumilia kwa siku angalau mbili tatu. Ila ni jambo la kushukuru Mungu kwani wanzako wanalalamika kuwa wanakata hata wiki mbili hawajaguswa.
Anza mazoezi kuhimili mbio ndefu.
Kwani mumeo ni mtu wa musoma??????
Taratibu bwana hukawii kumwomba wewe!
Mi nakushauri mpe angalau TG uone kama hajaridhika. Siku moja unajifanya hujui unapeleka kwenye mlango wa dharula yawezekana anautumia anashindwa kukwambia.
...Ndo maana mimi nimemwambia ajaribu kujiexpress naona utakuwa ndo ugonjwa wa mzee labda anaogopa tu kumwambia si amwonjeshe tu alafu askilizie.
hehehe duh kazi kweli kweli haya mpe msaada huyo shemeji wako amridhisheje?Mi nimemwambia ampe mambo yetu yaleeeeee.
jamani mi naona sifikiriwi hapa! nyani ngabu unanishauri ninyonye 'koni' ndiyo nini hiyo mzee?
swala kubwa mume huyu ni kutoka kwa makabila yale ya' amri amri' kule kuzunguka ziwa maarufu hapa kwetu Tz, kitu ambacho nafikiria kinachangia na kutonijali mimi kwamba nahitaji kuridhishwa pia.
Kufanya mambo ya chumbani ni kama chakula hakuna lingine analowaza, hajali nimechoka wala niko kwenye hedhi.. angekuwa basi ananirusha roho kwa kachumbari nisingenungunika. Kwa upande wangu hata hayo niliyofundishwa kwenye kichen-party nashindwa kupractise kwake, kwani inapofika muda narukiwa kama mzoga. Akisha mwagilia na siku ndiyo imetoka hiyo.
Wakati mwingine natamani nimuulize kama alipobarehe alifundishwa jinsi ya kumridhisha mwanamke, ila naogopa kufanya hivyo.
dada, huyo ni mumeo kweli au mmerukiana tu mtaani? Kama mmefunga ndoa lazima mnao wasimamizi wenu ambao ni "model" wenu kwa hiyo hao ndo wa kuongea nao ili uweze kupata msaada. Kama hakuelekezwaga basi watamshauri na kumsaidia namna ya kucheza kitimu (team work). Zaidi ya hapo dadangu itakuwa ngumu sana na wengi wa walokushauri humu jamvini wanafanya utani katika mambo muhimu na magumu na naogopa ukichukua ushauri wa Ngabu et al kwamba koni mara tigo, basi utakuwa umemkwisha kabisa na ndoa kuingia gizani.
Ulichosema wos ni kweli. Nadhani kuna umuhimu wa Wanaume kupewa mafunzo ya ndoa kabla ya kuingia kwenye ndoa, ni vema wanaume tukubali ukweli, tunahitaji msaada katika masuala ya ndoa, ukiingia kichwa-kichwa unaweza kujikuta ndoa yako inakuponyoka.
Zungusha feni plus kilio cha uongo.atajiona steringi na kuongeza mapigo
...huenda jamaa ana uchungu wa mahari aliyotoa, kaamua 'kujilipa!', Kwenye ndoa kuna mengi!
Dah ndo maana mimi nasema bado nitaendelea kusubili unajua maisha ya uhawara mazuri sana mnakutana mnapo kuwa mna njaa ukishibaaa aaah kila mtu na time yake.
Mwiko wa KUMWINGILIA MWANAMKE WAKATI WA HEDHI naufananisha na Mwiko wa KUMKATAZA MWANAMKE ASILE MAYAI KWANI ATAZAA MTOTO ASIYE NA NYELE.Hakuna kitu kama hicho jirani lakini kuna umuhimu wa kuwa nacho ili kuavoid mambo kama haya ya mwanaume kutaka kumuingilia mkewe wakati wa hedhi.
Mwiko wa KUMWINGILIA MWANAMKE WAKATI WA HEDHI naufananisha na Mwiko wa KUMKATAZA MWANAMKE ASILE MAYAI KWANI ATAZAA MTOTO ASIYE NA NYELE.
Duh ..tuko nyuma sana.
hahhahahahhahahah yaaaani wewe ndo hufai kabisaaaaa, mwenzio ana kidonda wewe unaenda kumtia msumari wa moto?mbadilishie mtandao tuu ataacha kukubeep, mtandao mzuri wenye network nzuri na inayoaminika na wengi mujini ni "Tigo".mpatie huo atapoa tu na hata ukiwa kwenye siku zako apana shaka mtandao wa tigo ndio wenyewe.Kitu kitamu unakula na mpenzio.
acha zako hizo, hebu ingia hukoo
hehehe niambia Nyamayao.
Ukweli utabaki pale pale mahawara wana enjoy sana kuliko nyie mlioko kwenye PINGU za maisha.
sio kweli!!!
jamani labda mtanisaidia, nifanyeje nimridhishe huyu mwanaume??? sasa kwangu kawa kama guberi haridhiki na mambo ninayompa chumbani japo hajishughulishi hata kuniandaa. na mbaya zaidi mume wangu huyu hata kama nikiwa kwenye 'siku zangu' anataka kuingia, jambo ambalo kikwetu ni mwiko. ukimkatalia anakutishia kutoka nje ya ndoa. .. jamani hii mwenzenu mbona imekuwa taabu tupu.
hahhahahahhahahah yaaaani wewe ndo hufai kabisaaaaa, mwenzio ana kidonda wewe unaenda kumtia msumari wa moto?
Duuh Wayne si kwamba ni MWIKO ila nafikiri ni makubaliano na ile hali ya kuwa huru sasa kama mwenzako hajisikii huru au confortable kufanya wakati huu kwa nini utumie nguvu? Si wanasema mapenzi ni makubaliano na raha ya tendo ni kusikilizana? Kikwetu tunasema unyumba ni mapatano na mkazio kuhembelezana!!
Sidhani kama kuna sehemu inayosema ni mwiko kutibiana wakati huo ila tu ni kule kuwa comfortable.