NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

Acha kuzunguka mkuu, sio wewe. Uliyesema hakuna mtu anayefanyakazi muhimbili bila kuwa na background ya afya?! Huu ni uongo, wako wengi tu hawana background yoyote kwenye medical, nimekuwa nafanyakazi mradi wenye mahusiano na muhimbili kwa zaidi ya miaka 5 , nimeingia pale almost kila week mara 2 au tatu randomly,

Sijui kiwango chako cha elimu na ufahamu , japo Nina doubtful nacho, wapi nimesema naijua muhimbili yote na tiss yote?! Mbona unaanza kuleta maneno yakwenye taarabu. Wewe ni mshamba huna ukijuacho ni taburasala.
Mkuu Loyalist achana kubishana na huyo mfuta vumbi.

Jamaa anakera sana, hakuna hoja yoyote anayoandika zaidi ya ubishi. Mpotezee tu,
 
Thibitisha mahali nimesema huwezi kufanya kazi Muhimbili bila kuwa na background ya afya.Copy hiyo posti iweke,na useme ni posti namba ngapi.
Acha kuzunguka mkuu, sio wewe. Uliyesema hakuna mtu anayefanyakazi muhimbili bila kuwa na background ya afya?! Huu ni uongo, wako wengi tu hawana background yoyote kwenye medical, nimekuwa nafanyakazi mradi wenye mahusiano na muhimbili kwa zaidi ya miaka 5 , nimeingia pale almost kila week mara 2 au tatu randomly,

Sijui kiwango chako cha elimu na ufahamu , japo Nina doubtful nacho, wapi nimesema naijua muhimbili yote na tiss yote?! Mbona unaanza kuleta maneno yakwenye taarabu. Wewe ni mshamba huna ukijuacho ni taburasala.
 
Nimejaribu ku-search kwenye intene t nimekuta these achievements
•Contributed to efficacy data for reviewing National Antimalarial Drug Policy in mainland Tanzania (CQ to SP and SP to ALU), also for Zanzibar (CQ to AQ/AS)

•Provided data to support use of Albendazole / Ivermectin for global elimination of lymphatic filariasis and Onchocerciasis

•Pioneering data to show ITNs can reduce malaria morbidity
•Still responsible for 4 out of 8 sentinel sites for monitoring antimalarial efficacy
•Malaria vaccine trials, RTS,S /AS02 and MSP3.
•Capacity building through research activities
Unaona walivyo vimeo. Twende na hoja moja baada ya nyingine:
  1. NIMR contributed to efficacy data for reviewing National Antimalarial............SWALI: Who led the process.? What's exactly did NIMR contribute and how much? tusishangae kugundua kuwa contribution yao hapa ilikuwa kushiriki vikao, kutoa hotuba za ufunguzi, kuorodhesha majina kwenye tafiti zilizofanywa na wengine nk nk, vitu trivial tu! Usikute hii wanayoita contribution haifiki hata 3%. Si wafutwe tu?
  2. Eti "provided data to support use of Albendazole sijui nini". Hizi tafiti mabeberu walishamaliza huko wakatuletea hizi dawa, NIMR ikasambaza. Hakuna medical research yoyote ambayo NIMR ilifanya hapa zaidi ya kugawa dawa na kupeleka data zinazotaja idadi ya waliomeza dawa hizo.
  3. Eti "pioneering data to show ITNs can reduce malaria morbidity". Nime-google hapa kumbe ITNs ni vyandarua vyenye dawa. Nani hajui kuwa chandarua tu hata kisicho na dawa huzuia mbu, sembuse chenye dawa? Hii tunajua tangu shule ya msingi ! Leo watu wenye PhD wanaleta madesa ili wapige hela kwa kitu kinachojulikana! Medical research gani hii?
  4. Eti "Still responsible for 4 out of 8 sentinel nini nini". Hizo hebu zikabidhiwe kwa halmashauri kama watashindwa kuzi-maintain. Ujanja ujanja tu wa kupiga hela.
  5. Malaria vaccine trials.....Hii yote ujanjaujanja tu. Nani wanaongoza hizo tafiti, kutoka nchi gani na hadi sasa kwanini hakuna mafanikio? Trials miaka nenda rudi bila matokeo chanya na wala kuleta product yoyote ndio ushahidi tosha wa incompetence. Tena hii inatakiwa ikafanyiwe special audit na value-for-money audit, ina harufu ya ufisadi 100%
  6. Capacity building.....ndiyo nini hii? Mmefanyia wapi, makundi gani, wangapi, na imeleta faida gani kwa nchi? Au ndio zile semina zenu za upigaji na kugawana perdiems?
Naomba hii thread ifikishwe mezani kwa JPM jemadari wetu asiyependa upuuzi. Ninachompendea JPM ni mwepesi wa maamuzi anapoona waziwazi kero iliyoko mbele yake. NIMR ni kero. Wakisemwa wanaleta majungu ya ugomvi wao wa ndani na viongozi wao waliopita. Jibuni hoja msilete majungu hayatawasaidia.
 
NIMR ilikuwepo!! itakuwepo, ruzuku italambwa sana utakake!!usitake!! vimba pasuka!! wewe ndo unapasha kitu ambacho hukijui!
Narudia haitakufa ukiona imekufa ipo kivingine! siyo ruzuku ya Pesa ya Madafu ile!!! uliza ujibiwe!!
Ok, sasa jibu hoja. Rudi post #1 ukajibu
 
NIMR ilikuwepo!! itakuwepo, ruzuku italambwa sana utakake!!usitake!! vimba pasuka!! wewe ndo unapasha kitu ambacho hukijui!
Narudia haitakufa ukiona imekufa ipo kivingine! siyo ruzuku ya Pesa ya Madafu ile!!! uliza ujibiwe!!
Ok, sasa jibu hoja. Rudi post #1 ukajibu
for your information siko NIMR, ila nasema kinachojadiliwa hapa. Nani kasema lack of funds? inaelekea una ubaya na NIMR... wewe ni kiumbe mdogo kuathiri NIMR. Nenda mabibo uone wanachokifanya, Nenda NIMR makao makuu kaone wanachokifanya, tembelea centres zao uone wanachokifanya
Watu wanataka matokeo, siyo kuona watu wako busy for nothing.
NIMR imeleta suluhisho gani kwenye changamoto za tiba Tanzania? Orodhesha hata nne tu za kusaidia mjadala.
 
Unaona walivyo vimeo. Twende na hoja moja baada ya nyingine:
  1. NIMR contributed to efficacy data for reviewing National Antimalarial............SWALI: Who led the process.? What's exactly did NIMR contribute and how much? tusishangae kugundua kuwa contribution yao hapa ilikuwa kushiriki vikao, kutoa hotuba za ufunguzi, kuorodhesha majina kwenye tafiti zilizofanywa na wengine nk nk, vitu trivial tu! Usikute hii wanayoita contribution haifiki hata 3%. Si wafutwe tu?
  2. Eti "provided data to support use of Albendazole sijui nini". Hizi tafiti mabeberu walishamaliza huko wakatuletea hizi dawa, NIMR ikasambaza. Hakuna medical research yoyote ambayo NIMR ilifanya hapa zaidi ya kugawa dawa na kupeleka data zinazotaja idadi ya waliomeza dawa hizo.
  3. Eti "pioneering data to show ITNs can reduce malaria morbidity". Nime-google hapa kumbe ITNs ni vyandarua vyenye dawa. Nani hajui kuwa chandarua tu hata kisicho na dawa huzuia mbu, sembuse chenye dawa? Hii tunajua tangu shule ya msingi ! Leo watu wenye PhD wanaleta madesa ili wapige hela kwa kitu kinachojulikana! Medical research gani hii?
  4. Eti "Still responsible for 4 out of 8 sentinel nini nini". Hizo hebu zikabidhiwe kwa halmashauri kama watashindwa kuzi-maintain. Ujanja ujanja tu wa kupiga hela.
  5. Malaria vaccine trials.....Hii yote ujanjaujanja tu. Nani wanaongoza hizo tafiti, kutoka nchi gani na hadi sasa kwanini hakuna mafanikio? Trials miaka nenda rudi bila matokeo chanya na wala kuleta product yoyote ndio ushahidi tosha wa incompetence. Tena hii inatakiwa ikafanyiwe special audit na value-for-money audit, ina harufu ya ufisadi 100%
  6. Capacity building.....ndiyo nini hii? Mmefanyia wapi, makundi gani, wangapi, na imeleta faida gani kwa nchi? Au ndio zile semina zenu za upigaji na kugawana perdiems?
Naomba hii thread ifikishwe mezani kwa JPM jemadari wetu asiyependa upuuzi. Ninachompendea JPM ni mwepesi wa maamuzi anapoona waziwazi kero iliyoko mbele yake. NIMR ni kero. Wakisemwa wanaleta majungu ya ugomvi wao wa ndani na viongozi wao waliopita. Jibuni hoja msilete majungu hayatawasaidia.
Nilidhani una hoja kumbe una chuki. Ungeliuliza ukapata ufafanuzi wa hizo points. You should not attack them seek clarification... wapo humu wangelikupa clarification. Mfano point na. 1. Research yote ilikuwa undertaken na NIMR staff and publication on this is wholly acredited to NIMR as first authors and last authors.
Basi nakuacha
 
Ok, sasa jibu hoja. Rudi post #1 ukajibu

Watu wanataka matokeo, siyo kuona watu wako busy for nothing.
NIMR imeleta suluhisho gani kwenye changamoto za tiba Tanzania? Orodhesha hata nne tu za kusaidia mjadala.
nimezitaja, kwa vle una chuki huwezi kuziona
 
Ok, sasa jibu hoja. Rudi post #1 ukajibu

Watu wanataka matokeo, siyo kuona watu wako busy for nothing.
NIMR imeleta suluhisho gani kwenye changamoto za tiba Tanzania? Orodhesha hata nne tu za kusaidia mjadala.
Angalia sasa utoto huu!!! yaani hata suruhisho ya tiba hata moja hujui??? yaani umekusudia kuropoka tuuu!! dawa zinakuja umeze!! sasa wewe jifanye jifanye mwamba hapo na chuki zako hizo za kizee eti humezi dawa za NIMR utakufa!!
 
Kufutwa haita saidia, hapo muhimu ni kuajiri Watu ambao Ni talented na wanaendana na kazi wanayoenda kufanya , tatizo kubwa la Tz yetu Ni mfumo Mbovu wa kuajiri , kwa hiyo kuko NIMR inawezekana wamejaa watu ambao hawana elimu ya kufanya kazi za medical reaserch ndo mana wanaona Ni bora watumie waganga wa kienyeji kutafuta tiba, kuajiri kindugu ndo chanzo Cha hayo yote, wanawekana wao kwa wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani wanafanya tafiti kwa kuegemea maeneo ya kuwafurahisha wanaowateua maana hapo wa kulaumiwa sio wao bhana...mpaka maprofesa uchwara wanapiga makofi unategemea nini hapo...
 
Labda tukuulize wewe ipi kazi nzuri imefanywa na NIMR ? Mtoa mada ametoa data za kutosha kuonyesha NIMR ni wastage of money ..... Wewe unaita ameandika upumbavu ...basi thibitisha upumbavu wake la sivyo ukishindwa wewe ndo kilaza wa kiwango cha Tarmac road..et intelligence, intelligence gani hyo taasis nying duniani za tafiti tiba zina outbreak news namna zinavyokabiliana na Korona kutafta chanjo , NIMRI wako kimya et intelligence ..huu ujinga sjui unatokea wap hii nchi
Huyo mwandishi anaongea akiwa hana fact na data. Maana yake ni upuuzi mtupu,ni bahati ata kuona watu wana comment.
 
Ingia kwenye website ya CIA uone wanavyotoa kazi kulingana na taaluma husika.Sidhani kama kuna mjadala wao ndio kitengo bora duniani.
Halafu some people bana, yaani kidooogo tu!! plus kila kitu ''angalia Wazungu'' hao wazungu waliwapa nini huko matakoni zenu??, bila hata aibu, afadhali ungesema niangalie serikali ya Mugabe, Nyerere, Mwana Marundi, Mkwawa, Faraoh!, Moi!!

hao wazungu ni wao na sisi tuna style zetu!! yaani popote TISS unakomaa mtu! ili kuwachanganya maadui! ndo mipango na style yetu!! yaani style ambayo haipo Duniani sasa.
jinga km wewe unaona CIA ndo bora? mpyuukfuuu!
unatamani kuiga sababu ni wazungu!!! ungekuwa karibu ningekupiga kofi ukanye! umuonyeshee mke wako vizuri nilivo kuchapa kenge kabisa!
 
Angalia sasa utoto huu!!! yaani hata suruhisho ya tiba hata moja hujui??? yaani umekusudia kuropoka tuuu!! dawa zinakuja umeze!! sasa wewe jifanye jifanye mwamba hapo na chuki zako hizo za kizee eti humezi dawa za NIMR utakufa!!
Dawa zipi? Ule mchanganyiko wa pilipili kichaaa na tangawizi mliodesa kwa waganga wa jadi?
 
Nimejaribu ku-search kwenye intene t nimekuta these achievements
•Contributed to efficacy data for reviewing National Antimalarial Drug Policy in mainland Tanzania (CQ to SP and SP to ALU), also for Zanzibar (CQ to AQ/AS)

•Provided data to support use of Albendazole / Ivermectin for global elimination of lymphatic filariasis and Onchocerciasis

•Pioneering data to show ITNs can reduce malaria morbidity
•Still responsible for 4 out of 8 sentinel sites for monitoring antimalarial efficacy
•Malaria vaccine trials, RTS,S /AS02 and MSP3.
•Capacity building through research activities
Zote nimezi-challenge, nenda kajibu
 
Back
Top Bottom