Nimpende nanii?

Nimpende nanii?

Sasa unataka mwanaume legelege wa kazi gani, yani unataka kuolewa na mwanamke mwenzako?

HAYA MANENO YAKO SIYAPENDI NI MACHAFU ONGEA VIZURI UPATE MLO WAKILA SIKU UNANITUSI HALAFU UNANIAMBIA MANENO MAZURI KISA SITAKI WALA HAYO MANENO YAKO .NI HIVI BRO HUNA ADABU SISI SIO WATOTO WENZAKO SISI NI WATU WAZIMA .
 
Sija ona ata mmoja .emu weka na sub
naijatwittersavages-20190609-0001.jpeg
 
Endelea kuota

Umekula mchana kweli? Usije ukatudondokea njaa humu
Unajiona kweli wewe huna lolote chali wa ara nyambafu wewe kwani hataleo umekula nini kazi kujisifu unanjaa ya kimwili na kitumbo mtu ukimwote anakufa tu.
Nyie ndio wale mnafanyaga tungo maana wewe unagundu hupatagi kirahisi ni masela wako halafu wanakuonea huruma wanakupa uonje usije kufa na kiu.
 
Back
Top Bottom