Nimpende nanii?

Nimpende nanii?

Unajiona kweli wewe huna lolote chali wa ara nyambafu wewe kwani hataleo umekula nini kazi kujisifu unanjaa ya kimwili na kitumbo mtu ukimwote anakufa tu.
Nyie ndio wale mnafanyaga tungo maana wewe unagundu hupatagi kirahisi ni masela wako halafu wanakuonea huruma wanakupa uonje usije kufa na kiu.
Watu wana stress lakini wewe funga kazi
 
Nazikusanya nije kuzitolea kwako

Siku hiyo lazima uombe maji tu maninaa
Unanjaa sana na hiyo kitu yaani ukiipata unaichana sasa mimi nataka ibaki salama.
Ila kuwa mmpole humu utawapata tu nawatakuhurumia ila nenda kwa adabu.
 
Unanjaa sana na hiyo kitu yaani ukiipata unaichana sasa mimi nataka ibaki salama.
Ila kuwa mmpole humu utawapata tu nawatakuhurumia ila nenda kwa adabu.
Njoo milestone hapa tupate mbili tatu tuyajenge kwanza
 
Back
Top Bottom