Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,738
- 76,370
Samahani, kama nimekukosea nakuomba unisamehe, mi huwa sipendi kukwaruzana na mtu, napenda utani tuNimechoka humu mnadharau wanawake sipendi kama umeniona mzee kwani mimi napenda kuolewa na nyie vitoto mimi napenda kuolewa na watu walioenda umri




