Nimpende nanii?

Nimpende nanii?

Nimechoka humu mnadharau wanawake sipendi kama umeniona mzee kwani mimi napenda kuolewa na nyie vitoto mimi napenda kuolewa na watu walioenda umri
Utasikia tu ndoa wewe ni ngumu kuipata

Sitokuficha
 
Sina muda wa kumchafua mtu, ilimradi huwa napebda tu utani
Unajua kuna muda mtu anakuwa hapendi maneno hata ya utani kwasababu amechoka kukoment majibizano.
Yaani lazima ukute tu mtu anakusumbua humu hivi mnamiaka mingapi??
 
Utasikia tu ndoa wewe ni ngumu kuipata

Sitokuficha
Wewe sio mungu wangu na hata wewe utaisikia ndoa tu kwa wenzako wala hutokaa kuoa kwa hii tabia mbovu hakuna mdada atakayekuvumilia na hizi tabia mbovu chafu zimeoza
 
Nipo kerororoooo
Nimechoka humu mnadharau wanawake sipendi kama umeniona mzee kwani mimi napenda kuolewa na nyie vitoto mimi napenda kuolewa na watu walioenda umri
Mkuu Klay King unaonaje ukamuomba msamaha katoto kazuri na kuondoa jina lake kama anavyotaka.


Nangatukaa 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Wewe sio mungu wangu na hata wewe utaisikia ndoa tu kwa wenzako wala hutokaa kuoa kwa hii tabia mbovu hakuna mdada atakayekuvumilia na hizi tabia mbovu chafu zimeoza
Wewe ukiolewa basi hata vichaa wote watafunga ndoa

Yani mwanamke mbishi na mwenye gubu kwma wewe hata pete ya uchumba kuzugia utazisikia tu,kacheze kwaito kwa shughuli za mashoga zako
 
Mkuu futa kauli zako, mwache mdada wa watu, kwa hatua aliyofikia abaonekana amepanick, hafi kunidharau na kuniita kitoto, wakati hajui hata umri wangu. Futa post yako kumhusu katoto kazuri. Pliiz
Cc: troublemaker
Sijapanick nipo sawa tatizo nyie mnamaandishi machafu sasa wewe umeniita kabinti kazee ulitaka kisiniume ila umeitwa katoto kimekuuma sindio yaani kumbe wewe ni mtu matured then your acting like teenagers.
 
Wewe ukiolewa basi hata vichaa wote watafunga ndoa

Yani mwanamke mbishi na mwenye gubu kwma wewe hata pete ya uchumba kuzugia utazisikia tu,kacheze kwaito kwa shughuli za mashoga zako
Tupinge ukioa ukoo wenu utasauliana majina huoi hata ufanyiwe tambiko.
 
Sijapanick nipo sawa tatizo nyie mnamaandishi machafu sasa wewe umeniita kabinti kazee ulitaka kisiniume ila umeitwa katoto kimekuuma sindio yaani kumbe wewe ni mtu matured then your acting like teenagers.
Sorry katoto kazuri Nakubali nimekukosea. Sipendi kumkwaza mtu, naomba unisamehe nakiri ni kweli nimekukosea Nisamehe bure
 
Back
Top Bottom