Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,738
- 76,370
Kubali msamaha wangu mambo mengine yaendelee!Sorry katoto kazuri Nakubali nimekukosea. Sipendi kumkwaza mtu, naomba unisamehe nakiri ni kweli nimekukosea Nisamehe bure![]()
Kubali msamaha wangu mambo mengine yaendelee!Sorry katoto kazuri Nakubali nimekukosea. Sipendi kumkwaza mtu, naomba unisamehe nakiri ni kweli nimekukosea Nisamehe bure![]()
Nani anakutaka mimi sikutaki wala hujawahi kuniona nakutaka siwataki watu wasioonekana labda wewe ni jini.Niliondoe wapi? Hayupo hata top 1000 yangu
😂😂😂😂kumbe hawakujui hawa
Mkuu, ukimuona mwenzio anaomba msamaha, usipende kuchochea, sio vizuri.kumbe hawakujui hawa
Mimi nilikuwa nakurekebisha ila nimekusamehe.Kubali msamaha wangu mambo mengine yaendelee!
Nani anakutaka mimi sikutaki wala hujawahi kuniona nakutaka siwataki watu wasioonekana labda wewe ni jini.
Siwezi date na mtu mdomo umeoza kabisa hata uoshe nanini hautonukia .
Wewe ni mvutaji bangi .
Wewe ni wale ambao mnawapiga wadada
Wewe ni mtu ambaye unawanyanyasa wadada wewe ni mtu ambaye hata dada zako wakikuona wanakukimbia wewe ni mtu ambaye hata mama yako anakuogopa kukuo gelesha au chochote .
Wewe ni mwanaume ambaye kijiji kinakuogopa hata wewe ni mwanaume ambaye unaogopeka duniani.
Sasa hadi mimi sikuogopi tuopeane vidonge tu mpaka mwisho.



nini hii?Sasa unataka mwanaume legelege wa kazi gani, yani unataka kuolewa na mwanamke mwenzako?Nani anakutaka mimi sikutaki wala hujawahi kuniona nakutaka siwataki watu wasioonekana labda wewe ni jini.
Siwezi date na mtu mdomo umeoza kabisa hata uoshe nanini hautonukia .
Wewe ni mvutaji bangi .
Wewe ni wale ambao mnawapiga wadada
Wewe ni mtu ambaye unawanyanyasa wadada wewe ni mtu ambaye hata dada zako wakikuona wanakukimbia wewe ni mtu ambaye hata mama yako anakuogopa kukuo gelesha au chochote .
Wewe ni mwanaume ambaye kijiji kinakuogopa hata wewe ni mwanaume ambaye unaogopeka duniani.
Sasa hadi mimi sikuogopi tuopeane vidonge tu mpaka mwisho.
Karibu mkuuAsante mkuu
Asante sana
Sijui umejuaje mm ni mmama , hakuna shida
Ubarikiwe
Kweli baadhi yao vidumeHawa nasikia ni vidume
Sijakataa ila hata Mimi ni mke wanguAcha uhuni wako hapa
Yule Mke wangu
Nisamehe kwa moyo mmoja, then uliniquote vibaya, niliposema mzee nilimaanisha yule nilokuwa namwambia, na nilikatisha mmaneno kwani mwanaume anaweza kumwita mwanaume mwenzie kwa jina kama mzee baba, kosa langu ni kuwa pia sijakamilisha hilo jina la mzee baba. Nashukuru kama umenisamehe kwa moyo mmojaMimi nilikuwa nakurekebisha ila nimekusamehe.
@ baba swaleheKaribu mkuu
Karibu sana
Sijajua ila nimehisi tu.. Maana jina lako halina gender... Hakuna shida
Ubarikiwe nawewe
Inabidi unitaje niridhike.Malaika wa giza sijakutaja lakini hata wewe nakufikiria sana,
Inabidi uniweke pale top.Ngoja nikakuongeze hapo siwezi kukukwaza kipenzi