Nimpende nanii?

Nimpende nanii?

Niliondoe wapi? Hayupo hata top 1000 yangu
Nani anakutaka mimi sikutaki wala hujawahi kuniona nakutaka siwataki watu wasioonekana labda wewe ni jini.
Siwezi date na mtu mdomo umeoza kabisa hata uoshe nanini hautonukia .
Wewe ni mvutaji bangi .
Wewe ni wale ambao mnawapiga wadada
Wewe ni mtu ambaye unawanyanyasa wadada wewe ni mtu ambaye hata dada zako wakikuona wanakukimbia wewe ni mtu ambaye hata mama yako anakuogopa kukuo gelesha au chochote .
Wewe ni mwanaume ambaye kijiji kinakuogopa hata wewe ni mwanaume ambaye unaogopeka duniani.
Sasa hadi mimi sikuogopi tuopeane vidonge tu mpaka mwisho.
 
Nani anakutaka mimi sikutaki wala hujawahi kuniona nakutaka siwataki watu wasioonekana labda wewe ni jini.
Siwezi date na mtu mdomo umeoza kabisa hata uoshe nanini hautonukia .
Wewe ni mvutaji bangi .
Wewe ni wale ambao mnawapiga wadada
Wewe ni mtu ambaye unawanyanyasa wadada wewe ni mtu ambaye hata dada zako wakikuona wanakukimbia wewe ni mtu ambaye hata mama yako anakuogopa kukuo gelesha au chochote .
Wewe ni mwanaume ambaye kijiji kinakuogopa hata wewe ni mwanaume ambaye unaogopeka duniani.
Sasa hadi mimi sikuogopi tuopeane vidonge tu mpaka mwisho.
nini hii?
 
Nani anakutaka mimi sikutaki wala hujawahi kuniona nakutaka siwataki watu wasioonekana labda wewe ni jini.
Siwezi date na mtu mdomo umeoza kabisa hata uoshe nanini hautonukia .
Wewe ni mvutaji bangi .
Wewe ni wale ambao mnawapiga wadada
Wewe ni mtu ambaye unawanyanyasa wadada wewe ni mtu ambaye hata dada zako wakikuona wanakukimbia wewe ni mtu ambaye hata mama yako anakuogopa kukuo gelesha au chochote .
Wewe ni mwanaume ambaye kijiji kinakuogopa hata wewe ni mwanaume ambaye unaogopeka duniani.
Sasa hadi mimi sikuogopi tuopeane vidonge tu mpaka mwisho.
Sasa unataka mwanaume legelege wa kazi gani, yani unataka kuolewa na mwanamke mwenzako?

Acha uboya njoo kwangu upendwe kibabe ndio tunadumu
 
Mimi nilikuwa nakurekebisha ila nimekusamehe.
Nisamehe kwa moyo mmoja, then uliniquote vibaya, niliposema mzee nilimaanisha yule nilokuwa namwambia, na nilikatisha mmaneno kwani mwanaume anaweza kumwita mwanaume mwenzie kwa jina kama mzee baba, kosa langu ni kuwa pia sijakamilisha hilo jina la mzee baba. Nashukuru kama umenisamehe kwa moyo mmoja
 
Nilikuwa sijui Kanyela mumo kumbe kutamani siku hizi ndio Kupenda!!
 
Back
Top Bottom